Recent content by mhilisila

  1. M

    NACTE tunahitaji majibu kwa waombaji wa shahada ya kwanza

    Huwezi ukachangisha watu 50000 kila mmoja alafu unazuiliwa kudahili wanafunzi unabaki kimya
  2. M

    NACTE tunahitaji majibu kwa waombaji wa shahada ya kwanza

    Wale waombaji wenye equivalent Qualification waliokuwa wameomba vyuo (shahada) kupitia NACTE wanabaki katika utaratibu upi baada ya TCU kutangaza kuwa chombo pekee kitakacho dahili wanafunzi Wa shahada ya kwanza 2016/2017. Application fee inarudi? Kwani tunamini haijafanya kazi yeyote hata...
  3. M

    GE2015 Updates: Mchakato na Matokeo ya kura za maoni ya Ubunge CCM nchini kote

    Mheshimiwa mbunge aliyemaliza muda wake jimbo LA musoma vijijini kabla halijagawanyika Nimrod mkono Hali yake si njema katika kura za maoni zilizopigwa Leo nchi Nzima.
  4. M

    Nimrod Mkono, bado huna mpango wa kuachia Ubunge?

    Wazee hata mkimtetea babu haponi mwaka huu na sidhani kama mnalifahamu vizuri jimbo LA musoma vijijini. Sikatai kafanya mambo mengi katika awamu ya kwanza na ya pili lakini hii ya tatu utadhani jimbo halikuwa na mbunge. Mnaotetea kwamba aendelee naomba mrejee matokea ya uchaguzi Wa...
  5. M

    Nimrod Mkono, bado huna mpango wa kuachia Ubunge?

    Hata mkimtetea babu mwaka anaondoka
  6. M

    Nimrod Mkono, bado huna mpango wa kuachia Ubunge?

    Huu ni mwaka Wa uchaguzi,mbwembwe na tambo Kwa wanasiasa walioko madarakani haziishi kama alivyowahi kusema nimrod mkono mbunge Wa musoma vijijini kwamba hana mpango Wa kuachia madaraka hajaona MTU Wa kumwachia na atakuwa king'ang'anizi kama Mugabe, Je mheshimiwa kwa barabara hizi una sifa...
  7. M

    Rais mstaafu wa Marekani Bill Clinton atembelea Iringa

    Toeni taarifa ambazo MNA uhakika nazo,Clinton hajaenda kutembelea new forest, ameenda kwenye shamba LA kuzalisha mahindi ya mbegu LA ngongwa .
  8. M

    CHADEMA Wakamatwa na Vifaa vya Kijeshi Ofisini!

    Ccm hali mbaya,wamalize kwanza sintofahamu ya makundi ya wagombea urais waliyonayo ndo waanze hayo maigizo yaliyowahi kuigizwa hata na IGP mahita kuhusu cuf
  9. M

    Sengerema: Wazee wapeleka ng'ombe 10 kwa Ngeleja

    Wasukuma ule msemo wenu Wa " toho shitaa" unawapeleka kubaya mnamchangia mwizi?
  10. M

    Nimrod Mkono utakuwa na jipya gani Musoma Vijijini mwaka huu?

    Aseme pesa ya mfuko Wa jimbo alichowahi kuifanya,ataje na vijiji alivyowahi kupeleka pesa hiyo, ukipita katika shule nyingi hasa za msingi madarasa yamechakaa ,nyumba za walimu ndo useme! Na hii moja ya kazi za mfuko huo kuunga mkono shughuli za maendeleo kwa wananchi. Kama ni katika ujenzi...
  11. M

    Nimrod Mkono utakuwa na jipya gani Musoma Vijijini mwaka huu?

    itajulikana hapohapo lakini sio kumrudisha mkono
  12. M

    Nimrod Mkono utakuwa na jipya gani Musoma Vijijini mwaka huu?

    Mheshimiwa sana Nimrod mkono naamini unaendelea kupambana ili utete kiti chako katika uchaguzi Wa October 2015. Wakati ukiendelea kujipanga tunaomba utuweke sawa wananchi Wa kata ya Buswahili ya hatma ya bwawa lililokuwa likichimbwa katika kijiji cha WEGERO litakamilika lini na mkandarasi...
  13. M

    Kijiji cha Hekwe wilaya ya Serengeti kitendewe haki

    Ndugu wana JF Kijiji cha hekwe ni moja ya vijiji vya wilaya ya Serengeti kilichopo katika kata ya kenyamonta tarafa ya ngoreme.kata ya kenyamonta na tarafa ya ngoreme kwa ujumla sehemu kubwa ya wakazi wanaoishi maeneo hayo ni kabila LA wangoreme isipokuwa kijiji cha hekwe pekee ndo kinakaliwa...
Back
Top Bottom