Recent content by mhangahikaji

  1. M

    Ufafanuzi wa kisheria watolewa kufuatia kujiondoa kwa Jaji Elinaza Luvanda kesi ya uhujumu uchumi na ugaidi wa Freeman Mbowe na wenzake..

    Ni kweli ocd Yuko chibi ya hao uliowataja. Lakini nadhani kama atazuia hiyo mikutano ya vyama vya siasa kwa kufuata maagizo kinyume na sheria anaweza kushitakiwa kama eye.
  2. M

    Majibu ya John Mnyika kwa Rais Samia, Mwendelezo wa IQ ndogo ndani ya CHADEMA

    Sitegemei majibu au mtazamo wa Mama kuhusu hiyo kesi ya akina Mbowe uwe tofauti na maelezo ya Polisi, kwani wao ndio wanampa taarifa hizo. Lakini kama nakumbuka vizuri, huko nyuma kuna Kijana mmoja alikuwa anakabiliwa na kesi moja na baadaye alikuja kusema kuwa Polisi walikuwa wanamshinikiza...
  3. M

    Mikutano iliyotangazwa kufanyika nchi nzima na Katibu Mkuu CCM siyo mikutano ya hadhara iliyozuiwa na Rais?

    Mimi nadhani kwa mikutano ya hadhara ya vyama vya siasa vilivyosajiliwa rasmi, hakukuwa na sababu yoyote muhimu ya kuizuia. Katiba inaruhusu, na ilitamkwa bayana baada ya Sheria ya vyama vingi vya siasa, kuwa mikutano hiyo ya hadhara inawekwa kwenye Katiba ili isiwe rahisi kwa mtu yeyote...
  4. M

    Mdude Nyagali, shikilia hapo hapo na usipoe

    Wangevaa viatu vyake wangeelewa. Kwa mujibu wa maaelezo ya mdude mwenyewe, inaonekana watesi wake walidhamilia kumpa ulemavu wa kudumu kama siyo kummaliza kabisa. Simulizi yake ya aliyofanyiwa akiwa magereza kiukweli inatia hasira.
  5. M

    GE2020 Lissu: Mimi sio wa kwanza kuwa na wakili Muingereza

    Katika nchi nyingi za Afrika kuonekana unashirikiana na upinzani ni kama adui wa watawala waliopo. Hata mawakili wanaotimiza wajibu wao kutetea watu wanaoonekana kujihusisha na upinzani huwa kama wanahatasha Kazi zao. Nadhani kwa kuliona hilo ndiyo maana Lisu kaamua kumuweka Wakili ambaye...
  6. M

    GE2020 Freeman Mbowe: Kuna mamilioni ya wapigakura hewa na kuna vituo vingi hewa, bila NEC kurekebisha hakutakuwa na uchaguzi

    Hali hii unatokana na kutokuaminika kwa TUME iliyopo. Ili kuondoa hali hiyo muundo wa TUME unatakiwa uridhiwe na wadau wengi wa uchaguzi yaani kuwe na Tume ambayo kila Chama kitakuwa na Imani nayo kimuundo.
  7. M

    Kilio cha Tundu Lissu kiko hapa

    Ukisoma kwa umakini utaona kuwa kanuni hiyo imeweka upenyo fulani ili wahusike waweze kunufaisha wawatakao
  8. M

    GE2020 Tazama hii video ya kivuko alichozuiwa kupanda ndugu Tundu Lissu kwa madai kuwa ni kibovu kikiwa Mwibara kisha soma ufafanuzi wa yaliyotokea

    Ukiwasikiliza wananchi waliokuwapo ni kwamba kabla ya msafara wa Lisu kivuko kilikuwa kinafanya kazi bila tatizo. Mara tu ya kufika msafara huo kikaenda upande wa Pili na kusemekana kuwa ni kibovu na kwamba hakiwezi kufanya kazi tena kwa simu ya leo.
  9. M

    GE2020 CHADEMA hawaaminiki, tuwapime kwa ishu ya Korona tu tutapata picha

    Kuhusu Corona tusiwalaumu sana CHADEMA. Wao walifuata ushauri wa wataalamu wa afya kuwa unatakiwa ujilockdown kwa wiki mbili kama utaona kuna dalili za ugonjwa huo. Kwa kipindi hicho huko Bungeni kuna wabunge wetu walifariki na haikuwekwa wazi chanzo cha hivyo vifo. Hiyo ilikuwa ni kuchukua...
  10. M

    GE2020 Sijapenda, CHADEMA rekebisheni haraka haya makosa

    Nadhani hukumsililiza hadi mwisho
  11. M

    Haki vs Amani vs Utulivu

    2 HAKI Kwanza
  12. M

    GE2020 Chama kinamkana mgombea?

    Hivi karibuni nilisoma mahali kuwa kuna mgombea mmoja wa udiwani, sikumbuki Chama lakini ni cha upinzani, kajitoa katika zoezi hili. Lakini sikusikia Chama chake kikishirikishwa katika uamuzi huo.
  13. M

    Tume ya Uchaguzi ifanye nini ionekane ipo huru?

    Huo ndiyo ukweli. Katika mfumo tuliokuwa nao tume ya uchaguzi ambao unahusisha vyama mbalimbali wajumbe wake hawatakiwi kuteuliwa na mtu ambaye kuna muda naye au Chama chake wanatakiwa wasimamiwe na tume hiyo hiyo tena.
  14. M

    GE2020 Kuhusu suala la kuichagua CCM na sio Upinzani Dkt. Magufuli yupo sahihi

    Ingekuwa unafanyika uchaguzi wa Mbunge tu maneno hayo yangeweza kueleweka. Huu ni uchaguzi mkuu ukijumuisha rais na madiwani. Mgombea wa urais yeyote asijipe uhakika wa moja kwa moja kushinda.
Back
Top Bottom