mhangahikaji
Member
- Aug 13, 2013
- 65
- 39
Ni kweli ocd Yuko chibi ya hao uliowataja. Lakini nadhani kama atazuia hiyo mikutano ya vyama vya siasa kwa kufuata maagizo kinyume na sheria anaweza kushitakiwa kama eye.Nafkiri swala la mikutano, wangeheshimu huo wito wa kukutana ma IGP na msajili, kwani unaposema sheria imesema mnapeleka taarifa kwa ocd ni ili kurahisisha mchakato tu lakininuhalisia OCD yupo chini ya RPC na RPC yupo chini ya IJP, hivyo ocd akipigwa stop na wakubwa zake hawezi kukiuka maagizo,hivyo ni vyema mkakutana na top bosses ili kutengeneza namna bora/utaratibu kwa nchi nzima.pia kwa nyongeza ya uelewa mwenye mamlaka na utendaji wa jeshi la polisi ni IJP, hayo mengine ni katika kurahisisha taratibu za utendaji kwani huwezi kutegemea kila kibali/barua zote zielekezwe kwa IJP, ndio maana kuna makamishna,rpcs,ocds,rtos etc