Recent content by MhandisiMawazo

  1. MhandisiMawazo

    Je, ni mfuko gani wa UTT AMIS uko vizuri zaidi?

    Ipo kwenye masoko ya fedha pamoja na bond scheme (penye 1%profit/month -12/16%/year). Ile mingine iko kwenye masoko ya hisa
  2. MhandisiMawazo

    Msaada wa soko la kuku wa nyama

    Salama dada!? Kindly share nami hilo group kama ulipata access.
  3. MhandisiMawazo

    Nimesoma Shahada ya IT, nina uzoefu wa zaidi ya miaka 4. Natafuta kazi ama ya IT au yoyote

    Kufungua kampuni out of nowhere na hauna income yoyote sio rahisi sana, kampuni ina mahitaji yake kwenye ufunguzi labda kama ni kampuni bubu but kama kuna vijisenti kadhaaa unapata na huku una familia wanakuangalia priority ya kwanza ni wao kusurvive, i'm in the same situation naelewa fika the...
  4. MhandisiMawazo

    Msaada kuhusu NSSF

    Wakuu hivi na ukiwa umeapply michango yako ije kwenye mfumo ya michango ya hiari toka kwenye ile ya mwajiri na ikawa approved huwa inachukua muda gani michango kuhamishiwa kwenye mfumo ya michango ya hiari? Maana nikiangalia salio naona bado hawajaondoa malipo waliyonipa kwenye miezi 6 ya fao la...
Back
Top Bottom