Sio kweli mkuu, mbona wachina ni wakomunisti lakini wanafanya ubinafsishaji? Wametengeneza mabilionea wachina kibao? Makampuni ya ulaya na marekani yamewekeza Uchina ila hawauzi raslimali zao!
Rafiki Mwanzo 2:17 inasema
walakini matunda ya mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa maana siku utakapokula matunda ya mti huo utakufa hakika. Mwa 2:17 SUV.
Tunafahamu wafu huwa hawaishi pamoja na walio hai. Kwa hiyo hilo neno "hakika mtakufa" lilimaanisha - hakika mtatengwa na mimi Mungu...
Mimi sioni kwamba ni haki kumlaumu mama au serikali kwa hili. Mwalimu Nyerere kina wakati alisema "kupanga ni kuchagua". Sasa hivi kwa mtu anayeangalia kwa jicho la tatu ataona tuna miradi mingi na mikubwa kuliko uchumi wetu unavyoweza kumudu. Kama watanzania ni lazima tujue hilo ndio hasa...
Wewe unamfahamu Yasir Qadhi? Au unajibu tu kwa kuwa unadhani wote hawajui Kiarabu: nimesema hivi ukiona twanyamaza si kwamba hatujui, hiyo niliyokupa ni tip of the ice berg usinilazimishe niongee zaidi.
Yasir Qadhi admits to Muhammad Hijab that the (Quran) standard narrative has holes in it. What is your opinion about this controversy?
Answer
3
Follow
Request
More
Ad by Y-Jesus.com
Who Is the Real Jesus?
What does historical evidence reveal about Jesus’ true identity?
Learn More
11...
Kwa hiyo kwako wewe anayekudai ndio rafiki? je anayekupa vya bure utamuitaje? Nilitegemea watanzania wenzangu muangalie namba hizi: nchi zinazoongoza kutudai ni zile zenye kuzalisha mafuta kwa wingi, lakini tungetumia gesi yetu tunauhakika wa kuokoa takriban nusu ya hii hela halafu na sisi...
Huwezi ukamuona Mungu halafu ukaendelea kuishi (Kutoka 33:20). Nitatoa mifano michache: 1) barafu iliyotamani kupata uzoefu wa kukaa ndani ya tanuru kwa angalau nusu saa tu. 2) Mtu aliyetamani kutua kwenye jua na chombo chake cha anga za juu. 3) Chombo cha plastic kilicholalamika na kudai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.