Kinyume na WENGI wanavyo dai, idadi ya wanaume ni kubwa kuliko WANAWAKE. Hii ni kwa mujibu wa takwimu za mwaka hii 2025.
https://m.statisticstimes.com/demographics/world-sex-ratio.php
Sijajibu kwa sababu ya offer yako ila naona unatafuta kujua na hakuna ugunduzi WA mana kama kujua siri hii kwamba Mungu alidhihirishwa katika mwili, naye akaka nasi na kutuonyesha utukufu WA Mungu, wanao amini na kumkubali Yesu Mungu anawapa uwezo wa kufanyika wana wa mungu. Kama uzuavyo mwana...
Rafiki, Yesu ni Mungu kamili na ni mwansdamu kamili; asili mbili ndani ya mmoja. Kuhusu Uungu wa Yesu nitakupa ushahidi wa namna mbili moja ni uzoefu wangu na ya pili ni kimaandiko.
1. Yesu ni Mungu mana anafanya mambo ambayo mwansdamu hawezi kufanya:
a) ameniokoa dhambini (kwa jina lake Nina...
Pole, unahangaika na mam
bo mengi lakini linalohitajika kwako ni kuwa na uhusiano binfsi na Mungu, ni kuwa na ushindi wa dhambi, ni kuwa na uhakika wa msamaha wa dhambi zako. Hizi ngonjera nyingine waachie wasomi ila tambua; hakuna mtu anaweza kumfahamu Mungu Kwa hekima ya kibinadamu. Sisi...
Siwezi kmwacha Yesu aliyenipa ushindi wa dhambi, siwezi kmwacha Yesu aliyenipa furaha, amani, upendo pamoja na ushirika wa Roho Mtakatifu. Siwezi mwacha huyu aliyenipa burudiko la moyo na kunitua mizigo.
Ninakuelwa sana mkuu Covax na Kwa Nini unafikiri ukristo umejaa contradictions lakini Mungu...
Rafiki Covax unahangaika na mambo mengi ushauri wangu mpokee Yesu leo akufanye mwana wa Mungu (Yohana 1:12). Haya maswali yatakuchanganya unajua ukiwa mtoto wa mtu atajua yote maana tutaweza kuingia vyumba vyote nyumbani mwa baba yako. Yahweh anataka uwe mwanae ila nanna ya kuzaliwa upya (Yohana...
Yn 5:39-40 SUV
[39] Mwayachunguza maandiko, kwa sababu mnadhani kwamba ninyi mna uzima wa milele ndani yake; na hayo ndiyo yanayonishuhudia. [40] Wala hamtaki kuja kwangu mpate kuwa na uzima.
https://bible.com/bible/164/jhn.5.39-40.SUV
Umungu haufichwi ila akili za binadamu haziwezi kuuelewa umungu, ndio maana tunaokolewa Kwa Imani si Kwa kuuelewa. Ufahamu wa binadamu ni mdogo sana ni sawa na mtu atafute chombo cha kuhamisha Bahari Kwa kuyateka maji take ndani ya chombo hicho. Tutaweza kuleta vyombo vyote na kuvijaza halafu...
Sijui hoja yako ni ipi umepata majibu yaliyoshiba ila bado una maswali, uliza maswali kinagaubaga ili upate majibu kama haya tuliyokupa hayakuridhishi. Ndio maana mahakamani kuna "cross examination". Hoja ya Biblia ni kuwa Yesu alikufa msalabani baada ya Wayahudi kumkataa, gavana wa Kirumi...
Rafiki ni lini vinegar ikawa sumu ya kuua? Halafu hayo maandiko yanasema alikunywa au aliikataa? Kwa hiyo ukisema "Jesus died of poison" hiyo ni yako, ni stori ya kijiweni ambayo haipo kwenye maandiko na hakuna mwana zuoni anaye tafsiri hivyo
Hii ni kukiuka kanuni moja muhimu ya kutafsiri...
Mkuu mbatizaji, hawa hawakuwa "lawyers" ila walikuwa wataalam wa Torati ya Musa (Torah), waliitwa pia waandishi. Kazi zao kuu ni kutafsiri sheria kwa waumini ili waweze kufuata Torati bila kukosea, kazi ya pili inafanana na jina la pili "waandishi". Kwa vile siku zile hakukuwa na typewriters...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.