Recent content by mhagama jr

  1. mhagama jr

    Namna nzuri ya kufanikiwa kwa mtaji mdogo wa pesa

    Hapo kwenye kuacha kubet hapo pananihusu kabisa .... vijana kubet ni kupoteza pesa
  2. mhagama jr

    Leo naweka 'Utani' wangu pembeni kabisa na naomba wana Simba SC Wenzangu 'Mnisamehe' ila kwa huyu Michael Sarpong Kazi ipo Kwetu na Tuisila abadilike

    Yan unajitekenya mwenyewe afu unacheka mwenyewe... eti afunge goli hamsini [emoji23][emoji23][emoji23]
  3. mhagama jr

    Huu ni mpira wa kishamba sana

    Tukubaliane kwanza morrison ni mchezaji mbovu??? pili simba na yanga wangekaa mezani biashara ya morrison ingefanyika?? usihukumu kitu bila kukiangalia kwa pande zote
  4. mhagama jr

    Huu ni mpira wa kishamba sana

    kwahiyo ushamba wa akina bocco upo wap?? hamjijui kama nyie ndo washamba??? mashabiki wote wa man united saiv wanamtaja sancho huo nao ni ushamba??? fikilini kabla ya kukosoa au mnahisi wachezaji waliopo simba hawapendwi bac morrison anapendwa sanaa?? Sio hivyo ila ni kama tajili tu anapesa...
  5. mhagama jr

    Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    Kwa wakulima wa mahindi naskia kunauwezekano wakuzalisha gunia 15-20 kwa hekari ....je? Ni vitu gani vinaweza kunifanya nifikishe malengo ya kuzalisha idadi hiyo ya mahindi kwa kila hekari ntakayolima??
Back
Top Bottom