Recent content by Mhafidhina07

  1. Mhafidhina07

    Marekani ipo harakati ya kuitengeneza Libya Nyengine Mashariki ya Kati.

    Alisema kama alivosema Trump..tatizo limekuja baada ya kuweka serikali yao wanayoijua wao,imagine mtu anakaa nje ya nchi Miaka yote alafu analetwa kusimamia uongozi wa juu.
  2. Mhafidhina07

    Marekani ipo harakati ya kuitengeneza Libya Nyengine Mashariki ya Kati.

    Mjadala mkubwa kwa sasa ni Operation ya Marekani dhidi ya Iran katika harakati za kuondosha serikali inayoita ya Mkono wa Chuma,ambapo kwa taarifa imesema kuwa imefanikiwa pakubwa kwa wauwa viongozi wa juu(Maamuzi). Lakini binafsi naona hakutakuwa na Mshikamano ndani ya Irani endapo Wairani...
  3. Mhafidhina07

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Irani inalinda Dola na Marekani anaangalia Maslahi yake pale Mashariki ya kati. Israeli mnaodanganywa ni taifa la mungu ni Agenda ya Marekani ya kukusanya nishati Mashariki ya Kati. Tusitetee ujinga,Irani ni haki yake kujilinda tusifanyane Maroboti wa kufikiri.
  4. Mhafidhina07

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Kuna watu hawana hata akili ya kupanda mahindi wanahoji sababu za Iran kushambulia nchi za Mashariki ya kati. Vita ni mipango
  5. Mhafidhina07

    Iran kwa nini wanashambulia hadi Dubai? Je watapata wanachokitafuta?

    Kwanini wametoa Anga kwa Marekani na Israel
  6. Mhafidhina07

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Nachojua Irani inapiga nchi jirani sababu anataka nchi hixo kutoruhusu ardhi zao kufanya mashambulizi dhidi yake. Hivyo hawatokufa kizembe yaaani ni kwamba middle east yote itaenda kuteketea kwa upuuuzi wa waarabu wenyewe.
  7. Mhafidhina07

    Umoja wa Afrika (AU) umeonyesha wasiwasi mkubwa kuhusu mashambulizi ya Marekani na Israel dhidi ya Iran.

    Why Marekani anamiliki Silaha ya nuclear huku akiwazuia wengine kumiliki hii ina maana Gani,pia kwa nchi ndogo kieneo kama Israel inamiliki hivyo Silaha?
  8. Mhafidhina07

    Wakati tukisubiri vita kubwa sana kati ya Iran na Marekani

    Haimaanishi ubovu,ni uchovu wa Mfumo wa kudungulia hayo mabomu. Iron Dome ilizidiwa je,ile ni tenolojia ya Muhajemi?
  9. Mhafidhina07

    Wakati tukisubiri vita kubwa sana kati ya Iran na Marekani

    Kaka,kushindwa kwa mifumo ya ulinzi haimaanidhi kuwa haifanyikazi tatizo ni kuzidiwa. Ukweli ubakie kuwa ukweli Muhajemi ana akili na nguvu kushindwa huyo Marekani(Marekani pia kawatumia sana waisrael na wagiriki kutawala huu ulimwengu).
  10. Mhafidhina07

    Katika Imani, Je, mtuhumiwa uhalifu alie gerezani mahabusu anaruhusiwa kufunga kwarema au ramadhani?

    Wanafunga ila ikitokea Mazingirw hayaruhusu Mfano ukosefu wa Chakula wanasameheka.
  11. Mhafidhina07

    Nchi za Mashariki ya kati huwenda zisisimame Milele wakimruhusu Marekani kutumia Anga zao

    Marekani siku zote inalinda Maslahi yake kwa nguvu Kubwa katika kujilinda huku ameigawanya Dunia katika angle za kijographia ili kuhisisha mawasiliano na kuendelea kumiliki uchumi wa Dunia na kuendelea kujitanua pitia ardhi za wengine Kupitia sera za kimataifa. Katika ugawaji huu wa Maeneo...
  12. Mhafidhina07

    Tumeshuhudia ufanano kadhaa kwa maeneo ya Uislamu na kile kimeandikwa kwenye Biblia, na desturi za Uyahudi na Ukatoliki. Unajua sababu?

    Acha kutumia akili nyingi katika kulinganisha dini/Imani hicho unachokifanya ni ugonjwa wa akili. Ukilinganisha matukio ya vitabu vitakatifu na kufanya logic comparison ni vitu viwili tofauti kwasababu Imani na logic haviendani. Wacha kupotosha watu,hizi dini akili haitumiki badala yake...
  13. Mhafidhina07

    Ni kweli hatufanikiwi sababu ya serikali zetu au Kuna namna maisha ya kizungu yametuathiri?

    Maisha ya kwenye runinga ni gharama kubwa sana Kuna picha nzuri ya Teknolojia,majengo,Magari na hali safi ya mazingira Kuna picha ya uhuru wa vyama na Ibada. Unadhifu huu unalinganishwa maendeleo ya nchi zetu ambazo kiuhalisia ni changa,kiuhalisia zimejengwa katika mitazamo mingi,Imani na...
Back
Top Bottom