Recent content by Mhafidhina07

  1. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwajiriwa Serikalini, nilikopa ila nimefeli malengo nahisi ninaenda kupotea

    Makubwa akivuliwa nguo hasimami huchutama Dunia imekupa unachostahili kwa sasa karibu kutulia kabla hujachukua maamuzi ya kukopa. Usihadaike na stori za waliofanikiwa kama umeshauchukua mkopo uweke kwenye lakini ya voda na uuwekeze kwa mwezi utapata faida hata kidogo huku unafanya research ya...
  2. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Hali ya Mashariki ya kati ipo katika utulivu,Tanzania bei Mafuta imeshuka au bado tupo pale pale

    Kufungwa kwa mfereji wa Hormuz kumeathiri kwa kiasi kikubwa uchumi wa Dunia jambo ambalo limepandisha bei ya Mafuta na gas karibuni ulimwengu kote hususani Tanzania. Kwa sasa mgogoro huu upo katika hali nzuri ya mapatano ya kufunguliwq upya kwa njia kuu ya Biashara na tayari uchumi wa Dunia...
  3. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Nimekwazwa na bandiko la Robert Mtibeli linalosema eti 'Wanaume na Wanawake wako sawa kiakili', - Siyo kweli

    Kumbuka akili just ni space inayopokea kutoka kwenye mazingira hivyo naamini mwnadamu hazaliwi naakili ila anaikuta/anajifunza kupitia mazingira.
  4. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita Watu kazini?

    Kaka ushapata?
  5. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Matumizi mabaya ya pesa za umma naziona kwenye sherehe/kilele ya Utumishi wa umma

    Wakusanya Kodi wanatumia Kodi kwa nguvu Kubwa this is nonsense
  6. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Matumizi mabaya ya pesa za umma naziona kwenye sherehe/kilele ya Utumishi wa umma

    Posho watapata kwenye per diem wasitusumbue na kutumia pesa zetu hovyo
  7. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Matumizi mabaya ya pesa za umma naziona kwenye sherehe/kilele ya Utumishi wa umma

    Naona Kuna taasisi nyingi zimeweka mabanda hapa chilangali kuhitimisha wiki/kilele cha Utumishi wa umma jambo ambalo halina manufaa kwa Taifa,ni afadhali kungekuwa na tamasha la tamaduni kuliko haya mambo ya ajabu.
  8. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Wagiriki nini kiliwakuta? Sasa hivi hamna tena Wagiriki wenye akili kama zamani?

    walibase sana kwenye social sciences huwenda ndiyo anguko lao.
  9. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Je tunaanzisha sera ili kureact/solve tatizo au kukuza nguvu ya itikadi(kutawala)

    Sera ni kiungo muhimu kinachotumika kukabiliana na tatizo linaloikumba jamii, sometimes matatizo hayahitaji sera ili kuyaondoa ila linapokuja jambo la kuanzishwa sera ndiyo tatizo linazidi kuongeza. Kuna baadhi ya sera huanzishwa ili kuleta mgawanyo kwa asilimia Kubwa nchi zetu za Dunia ya tatu...
  10. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Entertainment media Bongo zinarudisha nyuma harakati za maendeleo

    Well said 😁 ila kushuka haimaanishi kuwa hakuna .
  11. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Entertainment media Bongo zinarudisha nyuma harakati za maendeleo

    I Inawezekana ila inahitaji somebody mwenye uthubutu.
  12. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Entertainment media Bongo zinarudisha nyuma harakati za maendeleo

    Ni jambo baya sana kwa jamii inayokuja
  13. Mhafidhina07

    JamiiForums Tanzania Entertainment media Bongo zinarudisha nyuma harakati za maendeleo

    Sasa What it is the best kuwa creativity au kufuata mikumbo? Thus why naona reasoning imeshuka sababu hakuna ubunifu.
Back
Top Bottom