Alisema kama alivosema Trump..tatizo limekuja baada ya kuweka serikali yao wanayoijua wao,imagine mtu anakaa nje ya nchi Miaka yote alafu analetwa kusimamia uongozi wa juu.
Mjadala mkubwa kwa sasa ni Operation ya Marekani dhidi ya Iran katika harakati za kuondosha serikali inayoita ya Mkono wa Chuma,ambapo kwa taarifa imesema kuwa imefanikiwa pakubwa kwa wauwa viongozi wa juu(Maamuzi).
Lakini binafsi naona hakutakuwa na Mshikamano ndani ya Irani endapo Wairani...
Irani inalinda Dola na Marekani anaangalia Maslahi yake pale Mashariki ya kati.
Israeli mnaodanganywa ni taifa la mungu ni Agenda ya Marekani ya kukusanya nishati Mashariki ya Kati.
Tusitetee ujinga,Irani ni haki yake kujilinda tusifanyane Maroboti wa kufikiri.
Nachojua Irani inapiga nchi jirani sababu anataka nchi hixo kutoruhusu ardhi zao kufanya mashambulizi dhidi yake.
Hivyo hawatokufa kizembe yaaani ni kwamba middle east yote itaenda kuteketea kwa upuuuzi wa waarabu wenyewe.
Why Marekani anamiliki Silaha ya nuclear huku akiwazuia wengine kumiliki hii ina maana Gani,pia kwa nchi ndogo kieneo kama Israel inamiliki hivyo Silaha?
Kaka,kushindwa kwa mifumo ya ulinzi haimaanidhi kuwa haifanyikazi tatizo ni kuzidiwa.
Ukweli ubakie kuwa ukweli Muhajemi ana akili na nguvu kushindwa huyo Marekani(Marekani pia kawatumia sana waisrael na wagiriki kutawala huu ulimwengu).
Marekani siku zote inalinda Maslahi yake kwa nguvu Kubwa katika kujilinda huku ameigawanya Dunia katika angle za kijographia ili kuhisisha mawasiliano na kuendelea kumiliki uchumi wa Dunia na kuendelea kujitanua pitia ardhi za wengine Kupitia sera za kimataifa.
Katika ugawaji huu wa Maeneo...
Acha kutumia akili nyingi katika kulinganisha dini/Imani hicho unachokifanya ni ugonjwa wa akili.
Ukilinganisha matukio ya vitabu vitakatifu na kufanya logic comparison ni vitu viwili tofauti kwasababu Imani na logic haviendani.
Wacha kupotosha watu,hizi dini akili haitumiki badala yake...
Maisha ya kwenye runinga ni gharama kubwa sana Kuna picha nzuri ya Teknolojia,majengo,Magari na hali safi ya mazingira Kuna picha ya uhuru wa vyama na Ibada.
Unadhifu huu unalinganishwa maendeleo ya nchi zetu ambazo kiuhalisia ni changa,kiuhalisia zimejengwa katika mitazamo mingi,Imani na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.