Ungesikiliza Tawasifu iliyosomwa na Prof.Cyiriacus Stanslaus Binamungu (Phd) ungepata jawabu la kwa nini Mama katunukiwa Shahada ya uzamivu ya heshima👍👍🤣
Badala ya kuhamasisha uokoaji,amekalia kukosoa wakati alikuwa waziri husika,ni unafiki.hivi anajua bei ya plot kariakoo, utanunua viwanja vingapi na kwa bei gani ili uweze kupata lowdensity na uwekezaji gani utakaorudisha uwekezaji huo.sometimes tusiwe wajuaji against uhalisia, Manhatan...
Afadhali baada ya mkwara juzi mmejielewa kuwa ni uchaguzi tu ndio unatoa haki ya kumuondoa kiongozi madarakani na si vinginevyo.hongereni kwa kubadili gia angani🤣🤣
Clips na ushahidi wote anazo, Rais hawezi ongea hewani sema yeye mstaarabu yajaagiza zitoke live tungepata mshangao,kumbuka jpm alivyozitoa hadharani za kina kinana ,Nape na january nani angeamini?(tena alitoa kidogo tu) angetoa kila kitu si ni uhaini.intelijensia haiwezi kulala.tatizo tunaiga...
Kama ni kweli Nia ya kutoa zawadi ni nzuri ila kama kweli walikuwa na nia hiyo wangetafuta mradi mmoja wa barabara, ama hospitali wakajenga vizuri ikawa zawadi ambayo angeithamini na watanzania wangeithamini.huyu ni Rais wa nchi anahudumiwa na serikali, na kiusalama hapandi gari ama chopa...
Mchechu ni husiness minded bravo, hawa wanatakiwa wapewe mabasi ya mkopo ili wawe na ari ya kutoa huduma nzuri na efficient kwani kuna machungu ya marejesho,hii mambo serikali inafanya uwekezaji mkubwa wa miundombinu bado iwape mtaji,bado vitendea kazi , ndio inaleta inefficiency na taasisi...
Nafkiri tuache kuwa na dhana ya udini, au ubaguzi wa aina yoyote always anapoteuliwa mtu angalia weledi na ujuzi wake kwenye taasisi husika, huyu mteule wa hii nafasi kubwa na nyeti kwa uchache ni mjuvi katika uwanda wake wa ujasusi, pia ni mwandamizi, na zaidi ni mjanja na ni mtoto wa mjini...
Nafkiri DC hana shida wala tatizo na elimu ya dini kutolewa kwa vijana, kwani ni jambo jema,yeye amejikita katika mazingira mabaya katika eneo husika kwa watoto husika,pia kituo kutokusajiliwa na serikali kukaguliwa wala kufahamika hata na Sheikh wa Mkoa ili kukidhi vigezo, hata Sheikh mwenyewe...
Hii ni bajeti ya Tarura mkoa mzima ,kwa zile barabara za changarawe😡😡 huyu ndio mhujumu uchumi sasa, sio zile kesi nyingine zilikuwa za kukomoana kipindi kile🤣🤣 tungetegemea huyu awe kisutu au korti ya mafisadi.
Tatizo la sisi binadamu ukiwa na tabia fulani toka utoto, labda kupenda sana videmu, ulevi etc hata ukiteuliwa kuwa nani , utajibana ila hutaweza kuhimili, na kujikuta unaleta fedheha ambayo hata wenzako wanashindwa kukusitiri . Kwa mfano ile tu hali ya Mh kuwepo bar na kuingia na kitoto kwenye...
Huyu Eng. angeswekwa ndani tu , kwa kuhujumu wananchi na kupokea mshahara bila kujua majukumu yake😡😡 pia tujue elimu yake maana anaonekana hajui hata majukumu yake.inasikitisha sana,hata bodi inatakiwa uvunjwe, tanki la ltrs milioni 40 halina hata tone la maji👹
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.