Kama issue hii ni ya kweli basi watanzania Tunahali ngumu sana kuhusu wizi wa fedha kupitia mishahara hewa hiyo ya Tsh 40bn/=,je,vyombo vya kudhibiti wizi huo viko wapi? Wizi wa fedha za umma kupitia mishahara isiyo na watumishi Halisi ni HATARI, chukua hatua
Ni vema katiba yetu mpya izingatie Mifumo ya Azimio la Arusha hasa Kipengele cha KUTAIFISHA MALI KUTOKA KWA WATU WASIOWAAMINIFU AMBAO WAMEJILIMBIKIZIA MALI NYINGI ISIVYO HALALI(illegaly Obtained Properties).KATIBA IZINGATIE MFUMO WA USAWA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.