Recent content by MGUBA

  1. MGUBA

    EWURA yatangaza kupanda kwa bei ya mafuta leo Septemba 6, 2023

    Kwanini mafuta yapande bei kipindi ambapo vijana wapo njiani kuludi majumbani kwao kuroda jkt vijana zaidi ya 10k wanakadiliwa kuludi baada ya kumaliza Kozi za mujibu wa sheria 2023
  2. MGUBA

    Kukosekana kwa umiliki wa moja kwa moja wa visima vya akiba vya uhifadhi mafuta huchangia bei kupanda?

    Serikari haina umiliki halali yaani moja kwa moja wa mafuta ya hakiba hivyo hupelekea mlipuko wa bei. Bei hupanda na kushuka hata kama kuna changamoto zinazo epukika mfano plani ya miaka kadhaa katika sekta.
  3. MGUBA

    Kwanini posho za mujibu wa sheria ni tsh.50,000?

    Posho ya vijana wa mujibu na vijana wa kujitolea huwa sawaa nadhani hii huchangia kwa kiasi fulani kupitia kwa baadhi ya Vitu vya vijana wa mujibu wa sheria (kuluta). Mana vijana wanao jitolea huwa hawana kazi extra kwaajir ya kuendesha maisha na kujikimu wenyew katika nguo,mafuta na maitaji...
  4. MGUBA

    MIMI SIDHANI KAMA KATIBA MPYAA ITAKUBALIWA TILL KIHAMA

    Kwa maono yangu kwa nchi kama TANZANIA ili kuluusu katiba mpyaa ni lazima iingie kwenye misingi ya dictator action na sio democracy kama hii ya sasa
Back
Top Bottom