Recent content by Mgoroko

  1. Mgoroko

    Vijana: Tumekusikia lakini maombi yako tumeyakataa

    @Watatubu bila kupenda!
  2. Mgoroko

    Napendekeza Mange Kimambi awe Mkuu wa Idara ya Upelelezi na ujasusi wa Gen Z

    Kama jina lako lilivyo,hata akiri yako inaonyesha wewe ni kizibo.
  3. Mgoroko

    Sirari: Wananchi wampambania mwenzao asitekwe!

    Ukileta fujo,utapigwa tu!
  4. Mgoroko

    Wastani wa watu 5 wanatekwa kila siku

    Habari bila picha,hiyo ni chai,kama chai nyingine!
  5. Mgoroko

    GE2025 Tutazuia uchaguzi fake kwa nguvu nyingi, kuzuia uchaguzi fake sio kosa ni ushujaa

    Amiri jeshi mkuu ashasema uchaguzi upo,wewe kenge maji unaunuzuije?acha fuse kijana!
  6. Mgoroko

    GE2025 Polisi Katavi wahimiza wanafunzi kuwa wazalendo na kutojihusisha na vitendo vya uvunjifu wa amani

    Polisi wanafanya kazi yao ya polisi jamii,katika kutoa semina ili kuzuia uhalifu kabla haujatokea,sasa nongwa ipo wapi hapo?
  7. Mgoroko

    GE2025 CCM tumeshashinda Uchaguzi huu

    Tarehe 29 twende tukapige kura,ushindi unakuja kwa kupiga kura na sio porojo!
  8. Mgoroko

    Tafiti zimeonyesha watawala mafisadi na madhalimu wanaogopa maandamano kuliko mtutu wa Bunduki na vifaru

    Kwa nchi hii Tanzania,inayo fwata misingi mizuri iliyo wekwa na waasisi wetu wa Taifa hili,Mwalimu J.k Nyerere n Abeid Karume, Amani na mshikamano ndio ngao yetu,huo upumbavu wa maandamano kamwe hautafanyika,sababu wananchi wanaenzi misingi hiyo.
  9. Mgoroko

    Bro, ondoka hapo kijijini usibweteke, Wakati mwingine sio wewe, ni mji huo mdogo unaokuzuia kufika mbali

    Inayegemea na fursa ya kiuchumi mtu anayo faidika nayo,au malengo yake.
  10. Mgoroko

    Wamakonde ndio wanaiweza kazi ya kutetea haki yao

    Acha kuwachomoa fuse wenzako.
  11. Mgoroko

    Mimi ni mwanaume ninayeonewa na mke wangu, Dkt. Gwajma nisaidie

    Walimu si mna tume ya utumishi wa walilu,kwanini usianzie huko?
  12. Mgoroko

    Wanne kati ya sita waliojaribu kumteka Tarimo wahukumiwa kwenda jela miaka saba

    Kuna baadhi ya watanzania wanafiki sana,serikali ikijitahidi kila hali na mali ya kufanya jambo jema katika kuwamata wanadhihakiwa,kuna mda jifunzr ku appriciate!
  13. Mgoroko

    Safari kutoka Mtwara mpaka Comoro

    Nenda ulizia uhamiaji,watakupa majibu mazuri kuliko huku,watu watakuposha na kukudhihaki.
  14. Mgoroko

    KERO Hakuna Taasisi yenye huduma mbovu kwa wateja kama UTT AMIS

    Hata mimi nimeweka za mwanangu na huduma ni nzuri sana,labda kama ulikutana na mtumishi aliye kuwa na mapungufu yake binafsi na sio Taasisi.
Back
Top Bottom