nimeolewa na nina mtoto mmoja ila mume wangu ana wivu sana, mara nyingi tukiangalia movies au tukitoka out akiona mwanamke mrembo hupenda kumsifia na wakati mwingine kumsifia lakini mm huwa nanyamaza kimya na roho huwa inaniuma sana, lakini mm nikimsifia mwanamme akiwa amependeza hununa siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.