Pole pole ni katika vijana wa kitanzania wanatia aibu taifa letu....leo hii anaikataaa katiba ya wananchi na kuwasifia waliozika....ni aibu kubwa kwa kijana kutumika hivyo.....!!
Mgomo kuisha na madaktari kufanya kazi kwa kujituma na uzalendo ni kitu kingine ambacho kinahitaji kiongozi anayeona mbali na sio wa kutafutwa kujisafisha kwa wananchi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.