Kwa hotuba hii ya Rais, Tujiandae na mgomo mkubwa wa madaktari

Ukweli mimi ningekuwa ni Dr. Ulimboka, basi ninetoa ama\ri moja tu kuwa madakatari wote waweke chini manati yao (Stethoscopes). Mwanasiasa kumchezea dakatri ni kuhatarisha sana uhai wa taifa hili; wamezowea kuwachezea waalimu na kufanikiwa kujenga taifa la watu wajinga kiasi kuwa kazi za siasa zimebaki kuwa zao na familia zao, sasa iwapo wanataka kuahamisha mchezo huo na kuwachezea madakatri basi watajenga taifa la maiti kwa kufuta watu wote ambao siyo wa koo zao. Na hilo wengi hatutalikubali, kwani hatuwezi kuacha ndugu zetu wafutike kwa vile tu hatuna madaraka ndani ya CCM.

Alichokutana nacho Ikulu Ulimboka ni kitu kingine, nje ya matarajio yake. Wangeanza kina Mbowe, walinyamazishwa hukohuko au umesahau?
 
Mgomo kuisha na madaktari kufanya kazi kwa kujituma na uzalendo ni kitu kingine ambacho kinahitaji kiongozi anayeona mbali na sio wa kutafutwa kujisafisha kwa wananchi
 
Madaktari milpiga ngoma sana mpaka ikapasuka. JK amewapa a veiled warning what could happened mkigoma tena. Ningeshauri mmendelee na mazungumzo lakini muwe na timu mpya ya uongozi wa chama chenu.
Waliyopo hawana busara zozote na inaelekea kuna watu mmoja au wawili ambao wanaburuza wenzao.
Pangeni safu mpya na hii itawaletea heshima mbele ya umma.
 
Madaktari milpiga ngoma sana mpaka ikapasuka. JK amewapa a veiled warning what could happened mkigoma tena. Ningeshauri mmendelee na mazungumzo lakini muwe na timu mpya ya uongozi wa chama chenu.
Waliyopo hawana busara zozote na inaelekea kuna watu mmoja au wawili ambao wanaburuza wenzao.
Pangeni safu mpya na hii itawaletea heshima mbele ya umma.

Madr wanawaamini sana viongozi wao na hakuna kiongozi yaliyewaburuza madr ndo maana kila jambo lilikuwa linaamriwa na mdr wenyewe kwenye vikao,madr wanasema kwa kuwa jamii haikutambua kuwa walikuwa. Hawapiganii maslahi yao tu bali na upatikanaji wa vitendea kazi na madawa,Sawa hv wanawaachia wananchi wenyewe wadai haki zao na mdr. wadai zao,vitendea kazi visipokuwepo mikono inawekwa mfukono mfukono unasubiria mwisho wa mwezi basi,kilichobaki Ni kujipanga vizuri kwenye meza ya mazungumzo ambayo imeisha anza ili maslahi yaboreshwe kwisha,kama Dawa hakuna mtanunua wenyewe,kama cratere hakuna atakwandikia fomu wewe utajiju utapikia wapi,vifaa vya operation hakuna basi operation wala hakuna kuwapa presha wahusika walete,kuna una hela mkutane private hospt,kwa dada kila mtu na masilahi yake na familia yake,maana wananchi walipashwa kusisitiza madr warudi kazini Sawa,lakini serikali ibanwe mbavu ionyeshe juhudi za makusudi za kuboresha huduma ya afya
 
Madr wanawaamini sana viongozi wao na hakuna kiongozi yaliyewaburuza madr ndo maana kila jambo lilikuwa linaamriwa na mdr wenyewe kwenye vikao,madr wanasema kwa kuwa jamii haikutambua kuwa walikuwa. Hawapiganii maslahi yao tu bali na upatikanaji wa vitendea kazi na madawa,Sawa hv wanawaachia wananchi wenyewe wadai haki zao na mdr. wadai zao,vitendea kazi visipokuwepo mikono inawekwa mfukono mfukono unasubiria mwisho wa mwezi basi,kilichobaki Ni kujipanga vizuri kwenye meza ya mazungumzo ambayo imeisha anza ili maslahi yaboreshwe kwisha,kama Dawa hakuna mtanunua wenyewe,kama cratere hakuna atakwandikia fomu wewe utajiju utapikia wapi,vifaa vya operation hakuna basi operation wala hakuna kuwapa presha wahusika walete,kuna una hela mkutane private hospt,kwa dada kila mtu na masilahi yake na familia yake,maana wananchi walipashwa kusisitiza madr warudi kazini Sawa,lakini serikali ibanwe mbavu ionyeshe juhudi za makusudi za kuboresha huduma ya afya
"mbayuwayu kashindwa kuchanganya na za kwake"
Pamoja na Madr kuonekana kwamba wameshindwa kwenye hili,Jambo moja hakika wamefanya,kufuata ngazi zote za kiuongozi na kupata majibu yao.Hivyo basi lolote litakalotokea, hakutakuwa na wakulaumiwa mbele ya safari kwa upande wao.wanaoshabikia hili kisiasa hawajui walinenalo.
 
JK (the populist) cant be fnc@d. he has nothing to lose.

kwanza hana ajenda ya 2015, so WTF? sana sana likitokea la kutokea kabla ya 2015 huyoo anakwea pipa kwenda kwa wale marafiki wa karibu pale mashariki ya kati (si mnakumbuka yale masuti?).
au kwa yule rafiki yake wa karibu mmiliki wa dowans ambaye JK hajui (tena hajui kabisa!) kama anamiliki dowans.
 
Hhahaha huyo ulimboka sio mwajiriwa wa serikali anafurahia migomo wateja waende private ukute ana ki dispensary bubu mtaani.
 
Madokta wakiamua kwamba watafanya kazi vitendea vikiwepo tu watakuwa wamefanya jambo la busara sana coz serikali lazima itaamka na kushughulikia fasta, lakini sio kutuomba rushwa.
 
lakini haya yanasababishwa na ukosefu wa uwazi kwenye maswala ya maslah kwa watu wote ....Hatjui nin kilichowasib madoct na wao wameilamba sukari wakaishia kuguna na kutokuwa na msimamo lakin hatujui kama walim nao wanoandaa lip????????????????????????????????????????????????????????????????????:crazy:
 
SIWAKUBALI,SIWAAMINI NA WALA SITAWAUNGA MKONO MADAKTARI HATA SIKU MOJA,NIMEFURAHISHWA SANA NA MHESHIMIWA JK KUWAVUA NGUO MADAKTARI JANA ,KAWAACHA UCHI JANA NA HILI NI FUNZO KUBWA KWAO KUWA NYAU HATISHIWI MTU MZIMA NA SABABU KUBWA ZA KUVULIWA NGUO NI KUKOSA UMOJA NA MSIMAMO NAWEZA SEMA NJAA KALI INALETA UTUMWA;

-SIASA ZA JK WANAZIJUA VIZURI hAJAANZA LEO
-WALIKUBALI WATANZANIA WAFE ILI WAENDE IKULU KUNYWA KAHAWA HALAFU WASITISHE MGOMO
-HAWANA UMOJA WAPO WALIOGOMA NA WENGINE HAWAKUGOMA
-HOJA ZAO KUMBE NI ZA KIJINGA SANA WANANGANGANIA WAZIRI AONDOKE??? BADALA YA KUPIGANIA VIFAA NA UDUNI WA HOSPITALI ZETU
-NILITEGEMEA WADAI MISHAHARA YA KUANZIA YA MILIONI KUMI KUMBE WANADAI MILIONI SABA TUUUUUU??NJAA KWELI MBAYA ,HAWAJUI HATA THAMANI YAO

SIWAUNGI MKONO KABISA

NA HALI ILIVYO SASA HAWANA UBAVU WA KUGOMA,JANA WAMEANIKWA NA MTU WA MASHAIRI KAWAVUA NGUO,HUYO NDIO JK MTOTO WA MJINI JANA ALIJIITA MZEE WA DSM KAWAANIKA MADR
 
Lakin mpaka eatu wapate madhara ndooo utawaona wakiandaa maeneo ya mabwepande na mengine kwa ajili ya wahanga na hawana mipango ya kunusuru yasitokeeeee kweli wapoooooooooo....................................................................
 
hili swala tukubali limekwisha!
hili jambo si rahisi sana na siwashauri madaktari kuendelea kugoma kwani linaweza kwenda vibaya sana kwao kiasi kuwa maisha yao yakawa hatarini kwa wananchi wenye hasira kuwazuru kwa kukosa huduma yao! achilia mbali wanaweza pia kufunguliwa kesi ya kusababisha mauaji kama mgomo wao si sahihi lakini wanasiasa wanaweza wasiishie hapo waka wapa na kesi ya uhani!
siwatishi sijui sheria hata kidogo lakini hebu tusubiri tuone inakuwaje kuhusu madai yetu ya msingi
tunajua mnastahili kuishi na kupata mshahara mzuri na marupurupu mazuri lakini ndio yapatikane kwa kuua watu? tutumie busara ndugu zangu binafsi naamini hakuna anyeweza kumlipa mwenzie akalizika kwa kazi atakayo mfanyia
tushikamane tusaidiane hali zetu ni mbaya mno
tukumbuke wale walio tusomesha yaani maskini kabisa ambao ndio walipa kila aina yakodi ndio wanao umia zaidi wakiwemo wazazi wetu.
poleni sauti zenu tumezisikia lakini mungu awatie nguvu katika kipiti hiki kigumu mfanye kazi kwa kujitolea kwa kuwasaidia watanzania.
 
Madaktari milpiga ngoma sana mpaka ikapasuka. JK amewapa a veiled warning what could happened mkigoma tena. Ningeshauri mmendelee na mazungumzo lakini muwe na timu mpya ya uongozi wa chama chenu.
Waliyopo hawana busara zozote na inaelekea kuna watu mmoja au wawili ambao wanaburuza wenzao.
Pangeni safu mpya na hii itawaletea heshima mbele ya umma.


Kiama kina kuja pale wataalamu wataachia kila kitu kiende kisiasa na mwisho tutaona indicators za afya kwa mwaka zinaonyesha vipi tusubiri hizi dharau za Raisi kwa sababu ameshika rungu zinamtokea puani
 
Sasa ndio nimepata majibu ya kwanini nchi sasa inaenda mrama!! Mkuu ni tatizo!

Haswaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Yaani alichokifanya JK ni sawa na Baba ndani ya Familiya kunatokea kutoelewana na Mkewe, wanaongea na kuyamaliza kisha baba anaenda kwa marafiki kijiweni na kuwasimulia kwa kujigamba na ikiwa alipokuwa anaongea na mkewe alikuwa na nidhamu na mnyenyekevu lakini akiwa kijiweni anajitutumua ili aonekane kidume.

Hivi unafikiri mkewe akipata taarifa ya maongezi kule kijiweni, ni hatua gani atakayochukua mke???

Bila shaka patachimbika!!!!!!!!!!!!!

JK kaongea na madakitari kwa unyenyekevu kisha anaongea na hao anaowaita wazee, kwa kujigamba. Tunafikiri ni nini alichokijenga kwa madakitari??? Si wataona kuwa wamedharauliwa hadharani??

Bila shaka tutegemee kuna siku JK atatusimulia mambo ya familiya yake au ugomvi wake na mkewe nyumbani!!!!!!!

Washauri wa JK wanampotosha na aliyemuandikia ile hotuba ya jana anampumbaza akili na kumjengea chuki kwa wananchi walio wengi Tanzania.

Cha ajabu eti alikuwa anacheka cheka wakati anatoa ile hotuba!!!!!!!!!!!!!!!!!!



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
Madaktari walikuwa wamegoma kabla hamjatangaziwa. Mgomo baridi. Na wamerudi kwenye mgomo baridi. Kama huamini hilo, subiri uugue halafu uende kwenye hospitali ya serikali ambako hujui mtu, hakika utakufa au utaondoka na kilema. Hilo lipo miaka mingi kutokana na kupuuzwa kwa fani hiyo. Mwaka huu wamejaribu kuliweka wazi zaidi litatuliwe lakini imeshindikana, kwa hiyo wamerudi mulemule kwenye mgomo baridi: humjui mtu, wafa. Na unakufa kweli! Hili la JK kuwarudisha 'kazini' madaktari kimizengwe si la kushangilia hata kidogo. Yakikukuta utaelewa ninachosema.
 
Kikwete amefanya kosa kubwa sana kwenda kuongea na wazee kuhusu huu mgogoro wa madaktari. Na mambo mengi aliyosema hayako sahihi. Hatua yake ya kuongea na viongozi wa MAT Ikulu ilikuwa nzuri, lakini kitendo cha yeye kwenda mbele na kuwasimulia 'wazee' hadithi ndeeefu ni umbeya & very un-presidential.

Haiwezekani wakati mazungumzo kati ya pande mbili zenye kuzozona yanaendelea, mmojawapo aamue kuita umati (usio husika na mazungumzo) na kuwaambia yote yanayojadilia! Huu sio utaratibu mzuri.

Pili, kwenye meza kuu rais alikaa karibu na IDD Simba. Natambua Idd Simba ndiye kiongozi wa wazee wa Dar (wazee wa ccm?). Lakini ni Idd Simba huyu huyu aliyejiuzulu kwa kashfa ya sukari na sasa yuko kwenye kashfa ya kuuzwa kwa UDA ndio anakua karibu na rais? tena high table?
 
Na hawa Wazee walikuwa wanapiga makofi tu wakati wao ndio wa kwanza kulalamika vifaa duni hosptalini Cjui walikuwa wanashangalia nini baada ya kumbana maswali wao wanaona sawa ukivikuta Muhimbili kwa kulalamika ndio wenyewe wakiitwa kwenye maongezi wanashangalia ujinga
 
Kitu ambacho sikumwelewa JK ni increment ya budget from certain billions to trillions (sikushika figure vizuri) lakini nachojua ni massive amount. Angekuwa makini angeshtuka kwamba jamani tumeongeza pesa nyingi kwenye hii sekta ya afya na kwa sasa imekuwa namba 3 ukilinganisha na sekta nyingine. Iweje hospitali zikose vitu vidogo kama gloves, dawa na vitendea kazi? Pesa zinakwenda wapi? Budget inaonekana kubwa kumbe ndio misururu yao ya kwenda India? Kwa kweli inasikitisha.

Unawezaje kuwalaumu wana harakati ambao wao kwa kujali roho za watu ndio wakaandamana kuishinikiza serikali isiwe bubu. Yeye kageuza maneno kabisa utadhani watu hawasikilizi radio na TV! Aendelee kuwakumbatia kina Mponda na Nkya lakini ajue wala hawana muda hapo Afya, wataondoka kwa mashinikizo tu na aibu!
 
SIWAKUBALI,SIWAAMINI NA WALA SITAWAUNGA MKONO MADAKTARI HATA SIKU MOJA,NIMEFURAHISHWA SANA NA MHESHIMIWA JK KUWAVUA NGUO MADAKTARI JANA ,KAWAACHA UCHI JANA NA HILI NI FUNZO KUBWA KWAO KUWA NYAU HATISHIWI MTU MZIMA NA SABABU KUBWA ZA KUVULIWA NGUO NI KUKOSA UMOJA NA MSIMAMO NAWEZA SEMA NJAA KALI INALETA UTUMWA;

-SIASA ZA JK WANAZIJUA VIZURI hAJAANZA LEO
-WALIKUBALI WATANZANIA WAFE ILI WAENDE IKULU KUNYWA KAHAWA HALAFU WASITISHE MGOMO
-HAWANA UMOJA WAPO WALIOGOMA NA WENGINE HAWAKUGOMA
-HOJA ZAO KUMBE NI ZA KIJINGA SANA WANANGANGANIA WAZIRI AONDOKE??? BADALA YA KUPIGANIA VIFAA NA UDUNI WA HOSPITALI ZETU
-NILITEGEMEA WADAI MISHAHARA YA KUANZIA YA MILIONI KUMI KUMBE WANADAI MILIONI SABA TUUUUUU??NJAA KWELI MBAYA ,HAWAJUI HATA THAMANI YAO

SIWAUNGI MKONO KABISA

NA HALI ILIVYO SASA HAWANA UBAVU WA KUGOMA,JANA WAMEANIKWA NA MTU WA MASHAIRI KAWAVUA NGUO,HUYO NDIO JK MTOTO WA MJINI JANA ALIJIITA MZEE WA DSM KAWAANIKA MADR

Bange za Zanzibar kali sana
 
Back
Top Bottom