Sitaki kuamini kwamba kati ya mashabiki wote wa Yanga, huna hata ndugu, rafiki, au jamaa wa karibu!! Umeamua kuwatukana wote kisa ushabiki wa mpira?? Think twice Buda!
Msaada jamani kuna yeyote ameweza kuweka pesa kwenye kampuni ya 22bet leo kwa mpesa?tangu asubuhi nimeshaweka 25000 na zote hazijafika kwenye account yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.