Juzi nimehangaika sana kununua bando......kila nikinunua wazee wanatuma mesej ya salio wanalamba chao nikarudia kama mara 3 ndo ikaunga na hapo deni ndo lilikua limeishaUkiona mtu mzima mamaa analia uje kuna jambo
View attachment 1683740
Tigo ndio walinishinda tabia kwamba ukiwa na deni la sh 300/- la salio la kawaida na kwenye tigo pesa kuna sh 5000/- na unataka kujiunga na kifurushi cha wiki. Ukibonyeza thibitisha kujiunga na kifurushi hiki... Lile salio linavutwa kuwa salio la kawaida kisha wanakata 300 yao na unabaki na 4700 😁😁utalazimika ukanunue vocha uongeze
Huo upuuzi kama upuuzi mwingine.