Huyu kwanza tunasumbiri tumsurubu huju Bumbuli 2015, tumemchoka sana na hatumhitaji huyu kijana ni laana kwa taifa 2010 yeye na baba yake waliiba kura na kuhonga wapinzani apite bila kupingwa...rushwa iliyomuweka ataweza kuipiga vita??
akiukosa uraisi natabiri hataishi zaidi ya mwaka mmoja Tanzania, either atahama nchi akaishi kule ulaya aliko nunua nyuma au (samahani) anaweza kuzidiwa na maradhi akafariki (too bad)
Kwa muda mrefu kumekuwa na mzozo kati ya mzee Yusuph Makamba na viongozi wa BAKWATA wilaya ya Lushoto kwa kuwa mzee Makamba hautambui uongozi wa BAKWATA wilaya hiyo.
Mzee Makamba alianzisha taasisi yake ya dini bila ridhaa ya BAKWATA wilaya ya Lushoto lakini akafanikiwa kuisajiri bila...
Inasikitisha kuona michango wa watu wengi hapa kutokua na hoja za msingi zaidi ya personal attack...vijana ushabiki umewajaa bila kujali hoja za msingi...hivi kweli mnachagua raisi kwa uzuri wa sura??
Hivi mkapa nae alikuwa handsome??
Hebu jengeni hoja za msingi sio ushabiki wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.