ha ha ha ha.
mafisadi wa ccm mtapata magonjwa ya moyo mwaka huu.
mkuki kwa nguruwe, mliita CUF chama cha kidini mkadhani hakuna mtu anayejua siri ya udini ulivyojaa ccm. Hapa mama mmepatikana, mtabanwa mbavu kwenye mambo ya EPA na buzwagi, na mkileta mambo ya udini na ukabila, mtaanikwa tu...