Recent content by mganga2013

  1. M

    JamiiForums Tanzania CUF: Serikali ilichukulie hatua gazeti la Tanzania Daima kwa uchochezi wa kidini!

    :wave:Haaa haaaa haaaa!!!! hii ni dalili nzuri kwa Chadema, na ni taa ya kijani kuelekea 2015! bw. Kambaya anazidi kuzamisha jahazi la CUF- chama cha wananchi kwa kutumia udini, at CUF-Chama cha Wananchi tunaona Lengo la Gazeti la Tanzania Daima na Muandishi wake ni kupandisha hasira za...
  2. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na CCM vifutwe vinavuruga amani ya taifa

    Tunajua Janja ya CCm, hata wakifanya mikutano ya siri haisaidii !! kwisha jua janja ya nyani hapana vuna mabua!!
  3. M

    JamiiForums Tanzania CHADEMA na CCM vifutwe vinavuruga amani ya taifa

    Kusema kweli Baba Clara si yeye kaandika na kama ndie basi si mtanzania! na kama ni mbongo basi akili yake haina akili wala uwezo wa kufikiri, ingekuwa vema akaomba ushauri wa kuandika toka kwa clara ambaye naamini atapenda future nzuri ya nchi yake na ambayo Cdm ina straggle kuweka sawa Jahazi...
  4. M

    JamiiForums Tanzania, JamiiForums Uganda Generali wa kijeshi raia wa Uganda atishia kumuondoa Madarakani Raisi Museven

    Wabongo kaeni chonjo! mkiona kwa jirani kunafuka moshi angalieni kwenu usiwake Moto! yatulizeni kwanza yanayotokea Arusha na kwingineko Bongo! vinginevo 2015 moshi unawezafuka kama si Moto kuwaka kabisaa!!
Back
Top Bottom