Recent content by Mfyete

  1. M

    Rais kutokupokelewa na Rais mwenzake: Tutofautishe kati ya State Visit (Ziara ya Kitaifa) na Working Visit (Ziara ya Kikazi)

    Subutuuu. Heeeeeee, barabara zitapigwa dekiiii, media zitalindimaaa kama zoteee
  2. M

    Rais kutokupokelewa na Rais mwenzake: Tutofautishe kati ya State Visit (Ziara ya Kitaifa) na Working Visit (Ziara ya Kikazi)

    Hivi raisi wa marekani anaweza akaja hapa nchini akamaliza mwezi mzimaaa bila kuonana na samiaa??
  3. M

    Ujenzi barabara: Wabunge wamkumbuka Hayati Magufuli

    Uangalie usije ukalaaniwaa
  4. M

    SPIKA: Hauwezi kumfukuza Mbunge ambaye ameshapeleka kesi Mahakamani

    Kama mumeshawafukuzaaa, kwa nini mnahangaikia hao wamama??
  5. M

    Je haya Yana ukweli % ngapi kutekelezwa na JPM bila kusafiri?

    D Duuuuuuuh. Naomba unitumieee hiii document . pia umesahau jpm alipambana na mfumuko wa bei za mbolea na vifaaa vya ujenziii
  6. M

    Halima Mdee na wenzake watinga Bungeni licha ya CHADEMA kutangaza kuwafukuza rasmi

    Haaaa haaa. Yaaaanii hawa chadema tunawashangaaa kwelikweliii. Nyinyi kiongozi wao walishakaa kikao na kuwafukuza wamama wa watu, sasa cha ajabu wanachadema kuchakutwa wanafuatilia saaanaaa?? Au bado wanwataka??
  7. M

    Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

    Hakuna chama chochote chenye kilichosajiriwa kwa mjibu wa katiba ya jamhuri ya Tanzania chenye mamulàka ya kumtimua mwanachama yoyote kizembe, kwa sababu ni haki ya kikatiba RAIA kuwa mwanachama wa chama akipendacho. Na hata cheria na kanuni za kumlinda mwanachama yoyote ndani ya chama chake zipoo.
  8. M

    Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

    Ulivyomweipe kichanii hadi unatia kinyaa. Kwhyo chadema inafanya maamuzi kwa kutumia nukuu za akina Sofia simba?? Kesi ya akina Sofia simbi nisawa na hao wabunge 19? Acheni wamama wawatu watafute haki yao inje ya katiba ya chama chenuu. Nihaki yaoo
  9. M

    Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

    Waaaataachaje nawakati wameitwaa na kiongozi wao wa chamaa?? Wangegoma kuja siingekuwa sokomoko kama kipindi kilee?? Ngoja wanasheria watatudadafulia
  10. M

    Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

    Kwahyo maaamuzi yamefanyika kwa kufuata matakwa ya huyo mkuu wa mhimili na wala sikwa mjibu wa katiba na kanuni za chadema?? Ebu nitajie huyo mkuu wa mhimili anaweza amua mambo na kuisigina katiba na kanuni za chama
  11. M

    Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

    Acheni kuwakandamiza kwa kuwatishia wanasheria wenu kandamizi dhidi ya akinamama. Kwenda mahakamani ni haki yao. Acheni kuwatisha, etiwatulie mbeleni mtawasamehe kwa kosa lipi mpaka waombe msamahaa. Tunataka sheria ichunguze na itoe hakiii
  12. M

    Chondechonde Mwenyekiti wa CCM-Taifa, Mdee na wenzake wasipewe vyeo CCM

    Mwenyekiti wa ccm atawapaje vyeo wabunge wa viti maalumu wachademaa???
  13. M

    Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

    Nyuma ya nondo alienda baada ya zaidi ya nusu mwaka toka hao mabinti wakate rufaa yaooo. Pia mwenyekiti hakwenda na office ya chadema
  14. M

    Baraza Kuu la CHADEMA laridhia kufukuzwa kwa Halima Mdee na wenzake 18. Asilimia 97.6 waafikiana na maamuzi

    Kikao kinapaswa kuketi baada ya mda ganiii, pindi kipatapo barua ya rufaa??
Back
Top Bottom