Mambo vipi wadau!
Natafuta CPA review class ambayo ipo wilaya ya kinondoni eneo lolote lisizidi ubungo, Tegeta na Moroko ili niweze kusoma kwakuwa itakuwa karibu na eneo nililopo kikazi. Msaada wenu na ushauri tafadhali.
Ahsante!
Mkuu nakushauri tafuta uzoefu wa hiyo fani uliyonayo kama umemaliza hivi karibuni kabla ya kuendelea na masters kupitia uzoefu utajua nn unakihitaji ili ukibobee zaidi.
Pole, ila cha msingi ni kuwa Huduma kwa Wateja hawawezi kukuambia Vocha imetumika lini na kwenye namba ipi kama huna card number. Na millad alisoma pin number sio card no. Ukiwa na pin namba za vocha huwezi kupata taarifa yoyote kuhusu Vocha hiyo kiongozi
Kiongoz ulivyo wapigia voda uliwa namba zipi kwan lazima wakuulize kadi namba zinazo anza na 00.. Ambazo ni tofauti na zile ulizoandika na mwenye Vocha ndiye anayekuwa nazo. Sasa ndugu yangu hapo umekurupuka kaka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.