Recent content by mfyatuko

  1. mfyatuko

    CPA review classes

    Mambo vipi wadau! Natafuta CPA review class ambayo ipo wilaya ya kinondoni eneo lolote lisizidi ubungo, Tegeta na Moroko ili niweze kusoma kwakuwa itakuwa karibu na eneo nililopo kikazi. Msaada wenu na ushauri tafadhali. Ahsante!
  2. mfyatuko

    Kujiendeleza kielimu

    Mkuu nakushauri tafuta uzoefu wa hiyo fani uliyonayo kama umemaliza hivi karibuni kabla ya kuendelea na masters kupitia uzoefu utajua nn unakihitaji ili ukibobee zaidi.
  3. mfyatuko

    Msaada! dawa ya kukausha kidonda cha mwili

    Jaribu kitumia utonvu wa ALOVELA mkuu ni mzuri pia
  4. mfyatuko

    Safari yangu ya kuto kumwamini mwanamke katika mahusiano ilipoanzia

    Phlagiey , kiongozi omba Mungu tuu utampata mwaminifu.
  5. mfyatuko

    Tigo na huduma hafifu

    Duuh! Pole hamia voda mkuu
  6. mfyatuko

    Shabiki huyu amenikosha

    Duuuuuh spans au spain
  7. mfyatuko

    Millard Ayo Na Kipindi Chako Cha Amplifier Msitufanye Watanzania Wajinga!!

    Nilikuwa nakuelewesha mkuu... Usikasirike...
  8. mfyatuko

    Millard Ayo Na Kipindi Chako Cha Amplifier Msitufanye Watanzania Wajinga!!

    Haaahaa mkuu huo ndio ukweli kama huamini pigatena simu Huduma kwa Wateja sasa na uone watakwambiaje...
  9. mfyatuko

    Millard Ayo Na Kipindi Chako Cha Amplifier Msitufanye Watanzania Wajinga!!

    Pole, ila cha msingi ni kuwa Huduma kwa Wateja hawawezi kukuambia Vocha imetumika lini na kwenye namba ipi kama huna card number. Na millad alisoma pin number sio card no. Ukiwa na pin namba za vocha huwezi kupata taarifa yoyote kuhusu Vocha hiyo kiongozi
  10. mfyatuko

    Millard Ayo Na Kipindi Chako Cha Amplifier Msitufanye Watanzania Wajinga!!

    Umeona eeh... Akinijibu hapo atanishawishi nikubaliane na hoja yake
  11. mfyatuko

    Millard Ayo Na Kipindi Chako Cha Amplifier Msitufanye Watanzania Wajinga!!

    Kiongoz ulivyo wapigia voda uliwa namba zipi kwan lazima wakuulize kadi namba zinazo anza na 00.. Ambazo ni tofauti na zile ulizoandika na mwenye Vocha ndiye anayekuwa nazo. Sasa ndugu yangu hapo umekurupuka kaka
Back
Top Bottom