Changamoto iliyopo kwa marekchara kuwakula hawa mabinti ni mgongano Wa kimaslahi peke yake. Ila amelaaniwa rekchara anaemnyima mtoto haki yake kwa sababu ya papuchi.....
, ila hawa watoto wanakulwa na kila MTU, boda boda, wauza tikiti, wauza chipsi, wajeda ndio wanawameza kabisa tena ukute ndio...
Asante sana feity na wadau wengine mliochangia na mtakaoendelea kuchangia. Naamini kweli inaweza ikawa sijawaza vyema sana na ndio maana tunashirikishana wadau kupata mawazo pevu na mbadala, najua huku wako wadau wengi wenye ujuzi, ufahamu, uelewa na moyo wa kusaidia na kushauri. asanteni.
Habari wakuu:
Naomba ushauri kwa watu wazoefu au wenye uelewa kuusubiashara ya duka la rejareja la vyakula na vitu vya nyumbani kawaida.
Kwa mtaji wa mil 2. Ningependa kusaidiwa katika mambo yafuatayo;
1. Ni vitu gani vya kuzingatia sana wakati wa kutafuta mahali (location)
2. Tofauti na...
labda pengine waanga wenyewe, yaani watoto wa nje ya ndoa, na wazazi wenye watoto wa nje waseme wanakutana na changamoto gani na kama analolisema lina ukweli
Menda halmaashauri kitengo cha mipango miji ukianana na hao wa ardhi utampata mtu ataenda na GPS atachukua coordinates ya eneo husika. Then atakuja kuziingiza kwenye sytseam atakupampaka ramani ya eneo na itaonyesha eneo kama ni la makazi au la wazi au la ibada.. Kama akikuta eneo lenyewe lina...
Nafanya kazi Kigamboni Feri, kwetu Arusha, nataka kununua kiwanja kimojawapo kati ya sehemu hizi kwaajili ya kuishi, uwezo wa kununua popote upo, naomba ushauri wenu wakubwa:
1. Bunju A 1 sqm 20,000 mradi wa UTT PID km 35 kutokea posta mpya
2. Kibaha boko timiza KM 37 kutoka posta mpya 2...
asanteni sana wakuu kwa ushauri wenu...ntafuatilia CRDB.......Mungu akijalia...kama kuna wazo jingine ntafrai..maana take home yangu ni 1.2...na nataka mkopo kwa miaka mitatu tu
Wadau,
Mimi ni mtumishi wa umma. Nahitaji kuchukua mkopo usiopungua milioni 12 kwaajili ya kununua viwanja vilivyo kwenye miradi. Naomba ushauri wenu juu ya benki gani ninayoweza kupata mkopo kirahisi na kwa riba nafuu ikiwa nipo Dar es Salaam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.