Hahahaha hao wanaosoma nursing wa kiume hawapendi kweli sema tu hawana namna nyingne, ila ni aibu kweli eti unakuta mdada anaulizwa, mumeo anafanya kazi gani? He is a nurse hahahahahah, nurse kazi zao kutandika vitanda 2 haijalishi ana degree au diploma
dah kweli ndugai ana ng'eng'e mbovu wenzake walikua wakiongea yeye anabaki ameduwaa, alinichekesha zaidi alipo2mia neno the lookers akimaanisha watazamaji badala ya the viewers. Dah kweli inasikitisha
hakika mzee malecela na hasara ya kuna na mtoto kama wewe mwenye mawazo mgando, yani wewe na akili zako unashabikia uhuni uliofanywa na wabunge wa ccm mpaka rais mwenyewe ameliona wewe bado upo gizani. Bora ukae kimya maana unamuaibisha baba yako, alafu m2 kama wewe ndo 2tasikia umepitishwa...
hahahah ndugai maskini hapo ndipo atajidharau ameudhihirishia umma wa watanzania ni kwa jinsi gani ameshndwa kuongoza muhamala wa bunge kutokana na infriority complex yake, anatakiwa kujitathmini kama anapashwa kuendelea kukalia kiti cha uspika, jana katka kipindi cha this week in perspectives...
yani wewe unataka kupingana hata na rais wa nch? Yeye ameona kuna tatizo lakn wewe bado haujaliona tatizo? Leo ndo nimegundua kwa nin ulishndwa katka uchaguzi wa EALA kumbe tatizo n upeo mdogo wa kifikra pole aisee
wanajamii binafsi nimefurahishwa na uamuzi uliofanywa na mh rais kikwete juu ya hli suala la katiba, japo mh rais ame2mia muda mwingi kumsema lissu lakn amejali maslahi ya nchi kuliko chama chake, Jk ameonyesha dhamira yake njema ktka upatikanaji wa katiba mpya, nawasih viongoz wa upinzani wakae...
yani huyu bulembo hata jinsi anavyoongea inaonyesha ana ufinyu wa fikra, jaji warioba naye ni mtanzania ana kila sababu ya kutoa maoni yake nje ya kofia yake ya mk wa tume ya katiba mpya. Haya na wewe bulembo unaemkataza warioba hasiwasemee wananch kwan wewe ni nan katka nch hii, afadhal na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.