Recent content by Mfugajihodarisana

  1. M

    Anaomba nimsaidie pesa, sitampa maana kipindi cha mahusiano yetu hakuwahi kunipa penzi

    Jaman kwa nini nyuzi nyingi za kulalamika kuhusu mahusiano wanaketa wanaume eet jmn wanaume nini tatizo
  2. M

    Naomba ushauri nahitaji kufungua duka mkoa wa Njombe

    Habari wapendwa, Samahani naombeni kufahamu kama nitaweza kufungua duka la mifugo mkoani Njombe wilaya yeyote ile ila napenda zaidi iwe katika mkoa wa Njombe: 1. Je, Kuna wafugaji wa kutosha mkoani hapo? 2. Idadi kibwa ya vyakula wanatengeneza wenyewe au wanatumia vya kiwandani? 3. Kuna...
Back
Top Bottom