Habari wapendwa,
Samahani naombeni kufahamu kama nitaweza kufungua duka la mifugo mkoani Njombe wilaya yeyote ile ila napenda zaidi iwe katika mkoa wa Njombe:
1. Je, Kuna wafugaji wa kutosha mkoani hapo?
2. Idadi kibwa ya vyakula wanatengeneza wenyewe au wanatumia vya kiwandani?
3. Kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.