Recent content by Mfia nchi

  1. M

    JamiiForums Tanzania JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reforms no election
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

    At least wewe umenipa neno la faraja. Asante sana.
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

    Sio wachezaji wa simba tu. Ana shobo na wachezaji wote, yaani ni kama vile anawazimu.
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

    Swali dogo. Ina maana miaka yote hiyo hajapata mtu wa kueleweka? Kama miaka yote hajaweza kupata mtu wa kueleweka kipi kitabadirika ili apate?
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

    Ndio mimi mkuu. Basi mwanamke mwenzio hajaja. Naomba ushauri.
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

    1 na 3 naziona kama zina apply kwa huyu mtu wangu. Ana shobo hatari na watu maarufu.
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

    Kulingana na scenerio nzima ya hicho nilichokieleza, unadhani mwanamke mwenzio ananipenda?
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

    kama hutajali unaweza kuelezea kidogo ni vigezo vipi vinakufanya uone ananipenda?
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

    Mke wangu nampenda sana. Huwezi kuamini ila ukweli utabaki mke wangu nampenda
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

    Nipo nasoma ushauri wenu Kwa hiyo wenye wake wawili hawajitambui?
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

    Nipo nasoma ushauri wenu
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani

    Msaada wenu wakuu, nateketea ndani kwa ndani. Binafsi breakup nilishashindwa kuizoea, huwa inaleta maumivu haijalishi ni breakup ya ngapi. Nisiwachoshe sana acha niende moja kwa moja kwenye tatizo langu. Mimi nina mke na watoto wawili na mke wangu lakini pia kuna mzazi mwenzangu ambaye...
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kati ya Tax management assistant na Customs assistant wapi kuna maslahi zaidi nje ya mshahara?

    Hizo stahiki ndio zenyewe. Kumbe unauliza wakati jibu unalijua?
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kati ya Tax management assistant na Customs assistant wapi kuna maslahi zaidi nje ya mshahara?

    Wabongo bhana! Sasa unabisha nini? Wewe ndio unayepanga majina? Basi kama wewe ndio unayepanga majina umekosea, kuna mtu umemchagua kwa hizo kada zote mbili.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kati ya Tax management assistant na Customs assistant wapi kuna maslahi zaidi nje ya mshahara?

    Yes, yupo aliyeitwa zote mbili. Shida zote zimepangiwa muda mmoja wa usaili hivyo anahitaji kuchagua moja.
Back
Top Bottom