Wadau nashukulu kwa maoni na maelezo yenu. Mm ni fundi wa computer, nahitaji namna ya kurepair mashine hizo pale zinapoharibika. Pia kama naweza pata mawasiliano yao ya MUST na DIT. Maana kwa sasa mm nipo Songea. Nitashukulu kwa msaada.
Wadau najua humu kuna wanaojua mambo mbalimbali.
Natafuta mtu au chuo zitakazonifundisha kutengeneza photocopy mashine, printer, scanner na nk. Kama mpo tafadhari mnicheki.
Please.
huo sio utafit uchwara kama wa TWAWEZA. kama mbu anaweza kufyoza damu yenye walaria na kwenda kumuambukiza mtu ambae hakuwa na malaria na akawa na vijidudu vya malaria. je itashindikanaje kwa HIV?
utafiti nilioufanya na kushauriana na halmashauri ya kichwa changu nimegundua kwamba mbu anasaidia kueneza HIV. mbu akimng'ata mwenye HIV halafu akaenda kumng'ata na kumtapikia mtu ambae hana HIV naye atakuwa ameambukizwa. EBO KAMA UNAWAZO TOFAUTI NA MM NIJUZE.
mwanzo mlisema act ni chama kilichoundwa na pesa za lowasa ili akikatwa ccm aende huko. leo mmebadiika na kusema act=ccm. kwel nimekubal ukuwa sio wa kupewa nch kwasababu nyie ni vinyonga (chamilion)
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.