Recent content by MFECANE

  1. M

    Natafuta chuo au fundi wa kutengeneza mashine za photocopy, printer nk. Nahitaji kufundishwa ufundi huo

    JFK wabongo. Naweza pata mawasiliano yao hao jamaa. Sorry for that.
  2. M

    Natafuta chuo au fundi wa kutengeneza mashine za photocopy, printer nk. Nahitaji kufundishwa ufundi huo

    Wadau nashukulu kwa maoni na maelezo yenu. Mm ni fundi wa computer, nahitaji namna ya kurepair mashine hizo pale zinapoharibika. Pia kama naweza pata mawasiliano yao ya MUST na DIT. Maana kwa sasa mm nipo Songea. Nitashukulu kwa msaada.
  3. M

    Natafuta chuo au fundi wa kutengeneza mashine za photocopy, printer nk. Nahitaji kufundishwa ufundi huo

    Wadau najua humu kuna wanaojua mambo mbalimbali. Natafuta mtu au chuo zitakazonifundisha kutengeneza photocopy mashine, printer, scanner na nk. Kama mpo tafadhari mnicheki. Please.
  4. M

    Msaada t-shirt printing supplies

    Nenda mtaa wa msimbazi opposite na sheli ya bigborn utapata hapo.
  5. M

    Kutorudia tendo la ndoa

    Msaada. Hivi kuna dawa ya kumfanya mtu arudie tendo la ndoa mara nyingi zaid? Kama kuna dawa wapi inapatikana? Maana ndoa inataka kuvunjika huku.
  6. M

    Mbu anasaidia kueneza HIV

    huo sio utafit uchwara kama wa TWAWEZA. kama mbu anaweza kufyoza damu yenye walaria na kwenda kumuambukiza mtu ambae hakuwa na malaria na akawa na vijidudu vya malaria. je itashindikanaje kwa HIV?
  7. M

    Mbu anasaidia kueneza HIV

    we unaonaoje?.
  8. M

    Mbu anasaidia kueneza HIV

    kuhusu mashine za kunyolea ziko salama kwa sababu kabla ya kuanza kunyoa huwa wanaweka dawa(sprit) then aftershave
  9. M

    Mbu anasaidia kueneza HIV

    nenda kapime ujue afya yako. maana ukikoswa kuambukiza na madem bas utakutana na mbu.
  10. M

    Mbu anasaidia kueneza HIV

    mbu huyuhuyu anayeeneza malaria (anofeles) na yuko sayar ya dunia.
  11. M

    Mbu anasaidia kueneza HIV

    utafiti nilioufanya na kushauriana na halmashauri ya kichwa changu nimegundua kwamba mbu anasaidia kueneza HIV. mbu akimng'ata mwenye HIV halafu akaenda kumng'ata na kumtapikia mtu ambae hana HIV naye atakuwa ameambukizwa. EBO KAMA UNAWAZO TOFAUTI NA MM NIJUZE.
  12. M

    Good Friday: ACT Wazalendo kinakuhitaji wewe, ni chama chako, chama chetu

    mwanzo mlisema act ni chama kilichoundwa na pesa za lowasa ili akikatwa ccm aende huko. leo mmebadiika na kusema act=ccm. kwel nimekubal ukuwa sio wa kupewa nch kwasababu nyie ni vinyonga (chamilion)
  13. M

    Mgombea Ubunge akataliwa mbele ya Lowassa

    na bado. had tar 25 oct tutasikia mengi kuhusu ukawa. MAMA ANNA WA ACT JUUUUUUUU.
Back
Top Bottom