Mohammed hawa njia wanaweza kuzaliana kwa species tofauti (Kupandana)?
Na unawafuga huria ama kuna wakati unaawachia wanaruka nje?
Je wakiruka nje hawatoroki?
wapi naweza kupata hizo species ili na mimi niweze kufuga?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.