Recent content by Mfanyakazi Hodari

  1. M

    Quick books

    Wadau na omba kufahamu mtu mwenye ujuzi wa accounting package(Quick books)
  2. M

    Msaada anaefahamu bei na inapopatikana software ya SPSS for data analysis na ARC GIS

    Wadau naomba msaada kwa anaefahamu zinapopatikana hizi software SPSS na ARC GIS za kununua nahitaji kujua bei na zinapatikana wapi kwa Hapa Jijini Dar es Salaam.
  3. M

    For JamiiForums Mobile users

    ni kazi ngumu sana kumfundisha mtu ambae hataki kufundishwa, ila pia mkuu katika ufundishaji wako ni rahisi sana kumfundisha mtu ambae ana idea ya mambo hayo mfano info tech lakini kwa layman ni ngumu sana.
  4. M

    Msaada wa data recovery katika External HDD

    Wadau Habari zenu, naomba msaada kwa anaefahamu kutatua tatizo langu, nina External HDD naifungua haifunguki namimi staki kui format kwakuwa kuna data za muhimu nazihitaji ntafanyaje ili ifunguke nizitoe hizo data?
  5. M

    Msaada wa Kupata software ya kuflash LG A 290 Cell phone

    Msaada wa Kupata software ya kuflash LG A 290 Cell phone
  6. M

    Msaada wa kupata software ya kuflash sim lg a 290

    Wadau naomba msaada wa wapi ntapata software ya kuflash simu ya lg a 290
  7. M

    Settings za net airtel

    Kama kuna mtu anazo settings za internet za mtandao wa Airtel naomba anipatie.
  8. M

    Msaada kuhusu hawa EROLINK RECRUITMENT AGENCY TAFADHALI!!

    Hivi wanapatikana wapi hawa Erolink kwa hapa Dar ili nami nijaribu bahati yangu ili nione mapungufu yao kama yapo na ubora wao kama upo?
  9. M

    kazi,kazi:houseboy&housegirl.

    Kuweni wawazi acheni kufichaficha tunatamani kutokana na hiyo mishahara mliyo weka lakini maelezo yenu hayajitoshelezi.
  10. M

    Natafuta fundi anae somesha ufundi wa simu za mkononi

    Hata mimi nahitaji fundi kama huyo ila nnachokiona ni kwamba uende k.koo Pale Aggrey wapo mafundi kibao ongea nae mmoja uwe unakuwa nae pindi anapotengeneza simu then uwe unaona unapata utaalamu halafu utakuwa unamtoa kibingwa.
  11. M

    pata faraja ya kazi toka Simgas.usikae nyumbani bure

    Tangazo lenyewe umelitangaza kienyeji sana ndiyo maana walio wengi hawawaamini nyie kina Doricy
  12. M

    Tanroads-- iringa

    Sasa kama Mawaziri wameanza kupeleka watu wao sisi Watanganyika ambao hatuna mawaziri wa kutupeleka tutapata kweli? Mh Hii nchi sasa imeshindikana du!.
  13. M

    Shift incharge Post Tanroads Kibaha

    Asante Mkuu hata mimi nilifanya interview nilikuwa namaanisha ajira.
  14. M

    Shift incharge Post Tanroads Kibaha

    Jamani wana JF naomba niwaulize kwamba hivi zile nafasi za shift incharge Tanroads Kibaha ziliishatoka?
Back
Top Bottom