Recent content by Mfanyakazi Bora

  1. M

    Huyu Mpambanaji Anahitaji Muongozo Wako

    Idea nzuri na bahati nzuri mimi pia nina mtaji wangu, nimekucheck PM ili unielezee vizuri plan nzima ikoje
  2. M

    Huyu Mpambanaji Anahitaji Muongozo Wako

    Asante kwa kunikumbusha, nimeedit Mkuu
  3. M

    Huyu Mpambanaji Anahitaji Muongozo Wako

    Dear Hustler, mi ni mpambanaji mwenzenu mwenye bidii, uthubu na moyo wa kujituma kwa sasa niko Mwanza. Nimeangaika sana kutafuta kazi sehemu tofauti tofauti bila mafanikio, naomba kama kuna mtu yoyote mwenye connection ya kazi anisaidie Mbali na kutafuta kazi lakini pia nina mtaji wa 1.2m...
  4. M

    Mtu mwaminifu, mbunifu, na mwenye bidii anatafuta nafasi ya kazi

    Habari za majukumu wakuu? Natumaini mko salama. Ningeomba msaada wenu wa hali na mali katika kunisaidia kupata nafasi yoyote ya kazi. Nina imani kuwa kwa msaada wako, nitapata nafasi itakayoniwezesha kutumia uwezo wangu na kuchangia kwa mafanikio ya mtu binafsi, shirika au kampuni yoyote. Mimi...
  5. M

    Nipo Tayari Kuitumikia Jamii

    Habari za majukumu wakuu Mimi bado nina hustle sijapata kazi, kama kuna mtu yoyote anaweza kunishika mkono mlango uko wazi Kwa sasa hivi nipo Mwanza
  6. M

    Nipo Tayari Kuitumikia Jamii

    Amina na ikawe hivyo kwa msaada wa Mungu
  7. M

    Nipo Tayari Kuitumikia Jamii

    Kama kijana ambaye bado najitafuta ili kujiboresha na kufikia malengo yangu, naomba kutumia jukwaa hili kutafuta mtu ambaye anaweza kunishika mkono au kuwa daraja kwangu la kunivusha kutoka hapa nilipo na kunipeleka kwenye hatua inayofuata ya maisha yenye nafasi na mafanikio zaidi. Ninatafuta...
Back
Top Bottom