Kuna shida pia katika mahakama zetu katika kutoa haki ndo maana watu wanafanya wanavyotaka wakijua wekienda mahakaman watashida kwa pesa.
Kingine kitendo cha chama kimoja kuongoza nchi ndo matokeo yake.
Tareh 13/08/2025 lissu kawapiga spana kweli kweli mpaka mkakimbiliakuhailisha kesho ili mkapokee maagizo ya mama, juzi kaongea hoja simple ambazo hata mtoto wa chekechea anakubaliana naye.lisuu ile mahakama anaifanya anachotaka na nyie mlivyo wajinga sasa mnafuata kasha onyesha mahakama za bongo...
Tunako kwenda kama taifa kuna giza kubwa sana kama tutaendelea kuwaita wapenda haki kama wafunjifu wa amani ya nchi, msingi wa amani wa nchi yoyote upo kwenye kutenda haki.
Mimi uwa nafanya sana mazoez kwasababu na asali ya mwili wangu ila sijawai kwenda barabaran na hata nikiwa uwanjani uwa situmii earphone , sio tunalaumu serkali ndo yenye vyombo vya kusiamia ili kwaiy ni wajibu wao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.