Kwa mbeya nenda Iyunga viwandani au Itutq karibu na iwambi uko kuna viwanda kama Coca-Cola , safari breweries, Tazara , Malumalu , kiwanda cha kahawa , pepsi ,Melt.
Fika asubuh iliuweze kupata Abc.
Yan sukari ni shida ukija kwenye nauli ndo kelele kwanzia mwanzo wa safari mpaka mwisho , Naomba serikali yangu angalieni ili swalq la sukari na nauli sisi wavipato vidogo tunateseka.
Ndo maana hata wao hawaoneshi sura za furaha cos wanajua wamezurumu haki za watu ila mungu ni mkubwa kila mtu huumpa na kumnyima kwa sababu anazozijue yeye.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.