Recent content by Mfagio

  1. Mfagio

    App nzuri ya kuscan kutoka picha kuwa pdf

    Ilovepdf nenda google
  2. Mfagio

    Jamani Mbeya hakuna mtu anayejua viwanda au kampuni ijayotafuta wafanyakazi

    Kwa mbeya nenda Iyunga viwandani au Itutq karibu na iwambi uko kuna viwanda kama Coca-Cola , safari breweries, Tazara , Malumalu , kiwanda cha kahawa , pepsi ,Melt. Fika asubuh iliuweze kupata Abc.
  3. Mfagio

    Kilimo si kwa watu dhaifu

    Kama unaenda kulima nenda na pesa ya ziada ambayo haina matumizi kilimo cha bongo ni kama kamali.
  4. Mfagio

    Huwa unasafirisha vipi mzigo wako kutoka Kariakoo kwenda mikoani kwa urahisi na nafuu?

    Mtafute mjomba transport jamaa wako vizuri wapo kidonge chekundu.
  5. Mfagio

    Biashara ya mifuko (viroba)

    Nenda mitaa ya karibu na soko la Kariakoo wanalojenga hiyo ndio mitaa ya mifuko, Kama unataka ile ya azam basi nenda pale ofisini kwao Tazara.
  6. Mfagio

    Kiwanda cha kutengeneza rainboot (Danlop) kiko wapi?

    Jana nilienda wao wanauza rejareja tu halafu izo boot nilizokuwa nataka hawana
  7. Mfagio

    Kiwanda cha kutengeneza rainboot (Danlop) kiko wapi?

    Nakuomba unitumie utakuwa umenisaidia sana
  8. Mfagio

    Kiwanda cha kutengeneza rainboot (Danlop) kiko wapi?

    Msaada kwa anayejua kilipo kiwanda cha kutengeneza rain boot (wanavyotumia wakulima) kwa hapa Dar es Salaam. Natanguliza shukran.
  9. Mfagio

    Wataalamu wa IT naomba mnisaidie kuifunga simu isifanye kazi na kumtafuta aliyeniibia

    Nakushauri kalipoti police wao ndo wanakupa ruhusa ya kuenda kwenye kampuni za simu kuifunga au kuweza kutrace sehemu ilipo.
  10. Mfagio

    Waziri wa viwanda na boashara je upo??

    Yan sukari ni shida ukija kwenye nauli ndo kelele kwanzia mwanzo wa safari mpaka mwisho , Naomba serikali yangu angalieni ili swalq la sukari na nauli sisi wavipato vidogo tunateseka.
  11. Mfagio

    Kwanini TRA wameficha majina ya waajiriwa wapya? Kuna siri gani? Huu ni utaratibu mpya wa Utumishi wa Umma?

    Ndo maana hata wao hawaoneshi sura za furaha cos wanajua wamezurumu haki za watu ila mungu ni mkubwa kila mtu huumpa na kumnyima kwa sababu anazozijue yeye.
  12. Mfagio

    Uzi wa vyakula tu

    Cha mchana
  13. Mfagio

    Kwanini TRA wameficha majina ya waajiriwa wapya? Kuna siri gani? Huu ni utaratibu mpya wa Utumishi wa Umma?

    Baadhi ya vitengo sio wote wapo wasubilia mshahahara ndo maisha yaende.
Back
Top Bottom