Recent content by Mfagio

  1. Mfagio

    Je, mifumo na taasisi zinazotakiwa kumsaidia Rais katika kusimamia nchi zinafanya kazi ipasavyo?

    Kuna shida pia katika mahakama zetu katika kutoa haki ndo maana watu wanafanya wanavyotaka wakijua wekienda mahakaman watashida kwa pesa. Kingine kitendo cha chama kimoja kuongoza nchi ndo matokeo yake.
  2. Mfagio

    Ushahidi wa kupanga, wa kubumba. Soma hii chini

    Wengi wemesahau maelezo yao waliyo andika police , wengi wanaishi maeneo ambayo ni ngome za chadema.
  3. Mfagio

    GE2025 Samia: Daraja la Jangwani fedha ipo tayari, sasa tunataka kuaza kujenga litakuwa na urefu wa mita 390

    Tuwe tuna soma na project finance nimeona neno world bank
  4. Mfagio

    Tundu Lissu ashangaa kuwa kuna kikao kimekaa na kupanga hukumu yake kuwa 12/11. Awataka majaji waeleze limetoka wapi hilo na kwa sheria gani..

    Leo wakati nipo barabaran nimeona gari zilizo mbebe true lion of africa Tundu lisu moyo wangu ulijaa na furaha kumwona mpiganaji asiyechoka.
  5. Mfagio

    Aliyemuelewa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam kuhusu mwendokasi anieleweshe

    Yule tusha mpuuza kitambo sana kama mbagara mpaka leo hamna gari lolote linalo fanya kazi unahis kuna mabadiliko yoyote uko kimara
  6. Mfagio

    CCM wajue huwezi kamwe kuuficha UKWELI

    NNi Ni browser zina Fanya IpSec tafuta playstote inaitwa Tor browser
  7. Mfagio

    CCM wajue huwezi kamwe kuuficha UKWELI

    Tuwambie watu watumie Tor browser in nzuri sana kwa kipindi hiki
  8. Mfagio

    GE2025 Samia: Sio shida wala aibu kwa chama kuwasafirisha wanachama wake

    Sio mda atatolea ufafanuzi na ulipaji wa posho kwa waliofika kwenye mkutano
  9. Mfagio

    Kiwango cha ujasiri na umakini wa Tundu Lissu mahakamani kinashuka kadiri anavyoitwa mbele ya mahakama kujibu yanayomkabili

    Tareh 13/08/2025 lissu kawapiga spana kweli kweli mpaka mkakimbiliakuhailisha kesho ili mkapokee maagizo ya mama, juzi kaongea hoja simple ambazo hata mtoto wa chekechea anakubaliana naye.lisuu ile mahakama anaifanya anachotaka na nyie mlivyo wajinga sasa mnafuata kasha onyesha mahakama za bongo...
  10. Mfagio

    Anaandika Askofu BENSON BAGONZA (PhD) uchuro wa taifa

    Tunako kwenda kama taifa kuna giza kubwa sana kama tutaendelea kuwaita wapenda haki kama wafunjifu wa amani ya nchi, msingi wa amani wa nchi yoyote upo kwenye kutenda haki.
  11. Mfagio

    Star Chamber Courts

    Kuna namna nchi inatakiwa kumtumia huyu jamaa hana future kubwa kwa taifa hili.
  12. Mfagio

    Ajali iliyoua watoto 5 huko Mbeya imenisikitisha sana; Lakini hebu tujadili mambo haya machache kiufundi kwa usalama wetu

    Mimi uwa nafanya sana mazoez kwasababu na asali ya mwili wangu ila sijawai kwenda barabaran na hata nikiwa uwanjani uwa situmii earphone , sio tunalaumu serkali ndo yenye vyombo vya kusiamia ili kwaiy ni wajibu wao
  13. Mfagio

    TRA imetangaza wafanyabiashara wanaofanyia mtandaoni kujisajili biashara zao? Huu ni uonevu

    Hapo TRA hawana shida tatizo ni wabunge wenu wanao tunga izo sheria , TRA ni msimamizi wa sheria tu
Back
Top Bottom