kamata kabisa mtu kama patrobas ni msomi ila mtumwa kwa wana siasa kila siku namuambia atumie taaluma yake ya sheria kusaidia watu na sio kuji tafutia umaarufu wa kipumbavu wa kisiasa haya sasa hapo kutoka ni mpaka mkutano tarehe 23 uishe ndo watatoka jinga kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.