Is not true kwamba mapato ya ndani ndio yalifanya tuendelee wakati kupitia mapato ya ndani hata 50%hatujafika pia kama alikuwa anatumia mapato ya ndani why deni liliongezeka katika utawala wake?
YouTube ni watu wa magu tu hao wameongea pia kwann umuhukumu jk kwa kusikiliza upande mmoja tu mbona hujaskiliza upande wa jk according to natural justice kwhy usiseme eti mradi ni mbaya kwa kusikiliza upande mmoja pia hatujui mahitaj ya mkataba yapo vp
Kubwa zaidi kuhusu ukweli wa mkataba hakuna anayejua pia ata magu mm binafsi siwezi kuthibitisha maelezo yake hadi niuone mkataba unavyosema na mahitaji ya mkataba ndio nitajua ukweli wa mkataba
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.