Habari Wana JF,
Kuna hoja nyingi sana zinasukuma kujengwa bandari kubwa ya Bagamoyo.
Mradi huu ukipata nguvu sana wkt wa JK. Haukukamilika wkt wake.
Sasa umerejea kwa kasi kiasi cha kudhorotesha hata miradi mingine.
Binafsi ukiniuliza, nitakwambia JK ndio kila kitu kwenye huu Mradi. Hadi muda huu.
SWALI: JK alishafanya mradi gani mkubwa, ukabaki kuwa ni Mali ya Watanzania.?
Hivi Wana JF wote mlikuwa "watoto wachanga" wkt anasema gesi mtwara lazima itoke. Na hadi watu wakachapwa, huko Mtwara kwamba itatoka tu kwa manufaa ya nchi yote!
Hamkumbuki hotuba ya JK akijenga hoja hilo jambo la gesi.?!
Au wote humu mlikuwa watoto?!
SASA UKWELI: Je, leo ile gesi ni kwetu Watanzania?!.
(Nyerere hakuwa mjinga kuepuka dhambi ya kuuza migodi yetu)
Je, leo JK ndio aaminike kwenye ishu ya bandari ya Bagamoyo?!
JK huyu huyu ambae wkt wa Mwinyi aliwahi kuwa Waziri wa Nishati, Madini na Maji.....hadi Leo maji ni mgao Dsm.
Ni kheri nimsikilize Mzee Mangula kuliko JK mara mia.
JK & Co tuachie Bagamoyo yetu.
Mama Samia, watch out! Hii ndio hesabu ya mwisho ya Wachina.
(Tz ndio yenye ARDHI zaidi kusini mwa jangwa la Sahara).
TUMEKWISHA...!!
Kuna hoja nyingi sana zinasukuma kujengwa bandari kubwa ya Bagamoyo.
Mradi huu ukipata nguvu sana wkt wa JK. Haukukamilika wkt wake.
Sasa umerejea kwa kasi kiasi cha kudhorotesha hata miradi mingine.
Binafsi ukiniuliza, nitakwambia JK ndio kila kitu kwenye huu Mradi. Hadi muda huu.
SWALI: JK alishafanya mradi gani mkubwa, ukabaki kuwa ni Mali ya Watanzania.?
Hivi Wana JF wote mlikuwa "watoto wachanga" wkt anasema gesi mtwara lazima itoke. Na hadi watu wakachapwa, huko Mtwara kwamba itatoka tu kwa manufaa ya nchi yote!
Hamkumbuki hotuba ya JK akijenga hoja hilo jambo la gesi.?!
Au wote humu mlikuwa watoto?!
SASA UKWELI: Je, leo ile gesi ni kwetu Watanzania?!.
(Nyerere hakuwa mjinga kuepuka dhambi ya kuuza migodi yetu)
Je, leo JK ndio aaminike kwenye ishu ya bandari ya Bagamoyo?!
JK huyu huyu ambae wkt wa Mwinyi aliwahi kuwa Waziri wa Nishati, Madini na Maji.....hadi Leo maji ni mgao Dsm.
Ni kheri nimsikilize Mzee Mangula kuliko JK mara mia.
JK & Co tuachie Bagamoyo yetu.
Mama Samia, watch out! Hii ndio hesabu ya mwisho ya Wachina.
(Tz ndio yenye ARDHI zaidi kusini mwa jangwa la Sahara).
TUMEKWISHA...!!