Tatizo la huu mkataba ni nini? Kilichofanyika hapa ni ubinafshija ambao sera yake tulishaikubali tangu zamani, hakuna jambo jipya hapa ila siasa za kipinzani ndo zinaleta kelele zote.
Kwa kijana kuona mwanamke mwenye mtoto ni udhaifu wa kiwango cha lami, kuna mabinti wengi sana mtaani, hawajazaa na wanataka kuolewa, achana nae huyo tena bila kuwa na hata na chembe ya huruma
Mimi nimekua na mahusiano na single mother mmoja kuanzia mwezi October mwaka jana, mwezi tarehe 25 December akanambia ana mimba yangu, January mwanzon akanambia tuachane, nikamuuliza kuhusu mimba akasema sio yangu. Kwa kifupi wanawake sio kabisa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.