Recent content by Merisho Sniper

  1. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Girlfriend

    Pia nkuulze umekosa watu uko kwenu wa kujadiliananao mpaka uje jamiiforums, labda nkuelishe, huu ni mtandao ambao unaoufanya watu wote Dunian kuwa Kama kijiji kmoja, umezaliwa kwenu imekulia kwenu lazma utafte new challenge ndomna ata wew sasaiv uko umu kufany discussion wakat mtaan kwenu Kuna...
  2. M

    JamiiForums Tanzania Natafuta Girlfriend

    Natafuta Girlfriend Alie serious ili awe mke mtarajiwa, umri 18-27, asiwe mfupi Sana, dini maelewano
  3. M

    JamiiForums Tanzania Nikijibiwa Nina mpenzi tayari nazima data

    Sasa hata hao maskin wenzangu nashindwa kutatua hilo fumbo
  4. M

    JamiiForums Tanzania Nikijibiwa Nina mpenzi tayari nazima data

    Samahanini Nina tatzo moja naomba mnisaidie, Yaani Mimi katika harakati zangu za kutongoza, nikijibiwa "Nina mtu" au "nina mpenzi tayari" Sina ujanja na huwa sijui maneno gani Tena ya kusema na sijawahi kumpata mwanamke ambae ashawahi nijibu "Nina mtu" Naomba mnipe ujuzi tafadhali cozi...
  5. M

    JamiiForums Tanzania Kumbe Azam Energy ni balaa kiasi hiki!?

    Pole
Back
Top Bottom