Recent content by Merikiori vicent lukanga

  1. M

    JamiiForums Tanzania GE2025 John Heche: Amejiandalia wapinzani wake, amewapa magari na nini cha kumsema

    Uwe mwangalifu unapotoa maneno ya dhihaka kwa kanisa hata kama liko chini ya mti
  2. M

    JamiiForums Tanzania Hii mikwaruzano ya ukatoliki na serikali haiwezi kuamsha chuki baina ya wakatoliki na waislam?

    Unaweza nionyesha mahali ambapo wakatoliki na serikali wamekwaruzana, na hapo hapo unaingiza uislam kutaka kutengeneza taaruki kwenye jamii, Wakatoliki walipoona hawaeleweki wakaomba mimbali zao zisitumike kisiasa, mwanasiasa akienda hapaswi kuzungumza kabisa habari za siasa kanisani huo ndo...
  3. M

    JamiiForums Tanzania Wakristo tunashambuliwa, tujitetee!

    Mmm, kwa nini uwaite watu washenzi na wakati huo unamuunganisha na mhe Rais kuonyesha kwamba huko upande wake, ungeweza kuwadharau watu kama ulivyoonyesha bila kumuunganisha mh Rais.
  4. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA: Hadi sasa, hatujui walipo Heche na Mnyika

    Asante unaweza endelea kwa jinsi huonavyo vyema nafsini mwako
  5. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 CHADEMA: Hadi sasa, hatujui walipo Heche na Mnyika

    Uhai ni zawadi ya Mungu kila mtu ana wajibu wa kuilinda kwa gharama yoyote hata kama unapishana nao kiitikadi husifurahi wenzako wanapokutwa na madhila mbalimbali, Tuna wajibu wakuonyana bila kudhihakiana, ulipaswa kumjibu kistarabu tu na kwa unyenyekevu kwamba ni vema akaripoti Polisi.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kwa makusudi, au kwa kutokujua, Lissu anataka kuleta mpasuko CHADEMA!

    Bado ungeweza kusema tu Mzee mbowe anang'ang'ania madaraka na ukaeleweka bila kumtukana mpuuzi kimsingi yeye hayupo hapa kwenye hoja hii hivyo kulinda heshima ya mtu na umri wake ni jambo la Busara ndo tabia yetu sisi watanzania ni kama ambavyo watu wanamkosea heshima Rais wa nchi ungeweza tu...
  7. M

    JamiiForums Tanzania Polisi watoa tamko tukio la jaribio la utekaji Kiluvya, wasema uchunguzi umeanza toka aliporipoti Novemba 11, 2024

    Kimsingi haya matukio ni ya kushughulikia maana kwa sasa unaweza pishana na mtu haidha kibiashara au kifamilia akakodi mabaunsa wakaja wamevalia tshart zenye muonekano wa kijeshi mtu akachukuliwa nakwenda kuuwawa, so tunaitaji kuona tulikosea wapi natuparekebishe kama serikali na nchi kwa ujumla
  8. M

    JamiiForums Tanzania Unabii baada ya kiongozi mmoja wa juu kubeza uwepo wa Mungu

    Uwe muangalifu utakapokutana naye ni heri kukaa kimya kuliko kudhihaki
  9. M

    JamiiForums Tanzania LGE2024 Polisi: Kuna chama cha Siasa kinapanga kufanya Vurugu katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa

    Kwa mfano wanasema wagombea wote wameondolewa sasa hapo wanashiriki vipi wakati hawana tayari wagombea, kimsingi hapo hawana ushiriki wa haina yoyote
  10. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kwa huu utitiri wa miradi aliyomwaga Rais Samia mkoa wa Mwanza, angekuwa anatokea kanda ya Ziwa wapinzani wangesema anapendelea kwao

    Ulipaswa tu umjibu kwa ufupi tu kwamba asome mada ndo aje ajibu, kimsingi miradi mingi inatekelezwa pia lingejengwa daraja la kisorya - ngoma lenye kama km 2 hivi lingeondoa usumbufu wa wakazi wa Ukerewe na lingesaidia sana ukuaji wa uchumi kwa watu wa maeneo hayo Na Tanzania kwa ujumla
  11. M

    JamiiForums Tanzania Mwalimu Mwakasege: Hizi ni Siku za Mwisho na Kila Kitu kiko Wazi huitaji Mtu wa kukuhubiria Ukweli huu!

    Ni vizuri ukauliza ili ufahamu haya mambo kuliko kudhani hicho kilichosemwa ni nyimbo, ukweli wa mambo ni kwamba dunia iko ukingoni kabisa
  12. M

    JamiiForums Tanzania Wachungaji na Maaskofu waiache CHADEMA ijipambanue kama chama cha siasa

    Ni makosa makubwa kukiunganisha chama cha siasa na ukristo kwa hiyo unataka kutuambia CCm inaungwa mkono na waislam? Kitu ambacho si kweli hebu toeni sera zinazokubalika na wananchi na watu wakilizika na sera zenu mtachaguliwa tu, maana ndani ya chadema kuna wakristo na waislam na wasio na dini...
  13. M

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Yaliyojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024

    Kwani ukisema tu Hakuna mtu ataandamani hilo neno litakoswa uzito mpaka uweke wachaga ebu jiepusheni na ukabila
Back
Top Bottom