sasa hii ni kukomoana au nini yaani unamwita Dem tuu siku ya kwanza anakuja na rafiki zake huku hajui mfokoni upo vipi wakifika wanaanza kujiagizia vitu vya gharama Henkel na savana huku mikuku yaani round tuu 50 ishaisha nyie viumbe nyie mungu mjue anawaona nyie.. mnatukomoa au inakuaje sasa...
natafuta mkuu najaribu kuwaazia hawa viumbe tuu walivyo wabinafsi tuu cha kwao ni cha kwao unaeza kua na mke mkawa mnapokea mshahara ila wa kwake usione na akataka huo wa kwako tena aufanyie mambo pia..
Mnawaza kuwa na mahusiano na mwanamke mwanaume kipindi upo njema ukawa unamsaidia sana mpenzi wako kwa kila kitu mahitaji yote. Inawezekana mwanaume ukayumba kidogo ukawa hata huna kazi na kipindi hicho mwanamke wako akawa na kazi.
Sasa ukipata tatizo la kifedha ukamwambia ukakusaidia ila akawa...
Naombeni ushauri wife ana mimba ya miezi 6 sasa katoka clinic ananiambia docta kuangalia kaona mimba ipo kwa juu upande sasa hii imenipa wasiwasi sana je tatizo gani linaweza kutokea na husababishwa na nini?
Hawa viumbe hawana formula hivi wasichana hupagawa na nini haswa kwa mwanaume.
Mgegedo mkubwa?
Handsome?
Six pack?
Pesa?
Akili?
Unene?
Kitambi?
Urefu?
Utundu?
Ubahili?
Starehe?
Usuper star?
Au maana hawa viumbe hawaelewi kiukweli wapo kundi gani ebu tupeane uzoefu wa hawa viumbe maana wanaume...
ulishatafakari na kuwaza ukiwa mtaani, shule, au chuo mwanamke mzuri mrembo mwenye makalio makubwa huwa hawadumu kwenye mahusiano au hata wakiolewa wanaachika? hivi ni tabia zao huwa mbaya? au malezi yao kua mabovu? au ni mwanaume kuwa na tamaa za kimwili tuu kwao? na inasemekana baadhi yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.