Recent content by mengele

  1. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kilindi,mimi nije Bagamoyo,idara ya Sekondari
  2. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kilindi mimi nije Bagamoyo idara Sekondari
  3. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    njoo Kilindi mie nije Bagamoyo,idara ya Sekondari
  4. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo Kilindi mamtafuta mtu anaetoka Bagamoyo tubadilishane,natoka idara ya Sekondari
  5. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Poa ndugu nitamwambia nitampa namba zako za simu,kisha nitakufahamisha
  6. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kilindi ndugu yangu aje Kilwa Idara sekondari
  7. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kilindi,mie nije Bagamoyo au Dsm.Idara sekondari
  8. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    nakushukuru ndugu wa Kilwa uliokuwa tayari kuja Kilindi,mimi nahitaji Bagamoyo niungane na familia yangu.Idara ya sekondari
  9. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kilindi mie nije Bagamoyo.Idara sekondari
  10. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Nipo Kilindi nahitaji wa kubadilishana nae anayetoka Bagamoyo au Dsm.Idara sekondari
  11. M

    Muingereza mwengine akatwa kichwa

    Jamani kabla kuawa Gadaf,ilibia ilikuwa mahala pazuri,Nato wakawasaidia waasi na kumuondoa Gadaf,na hivyo ndio ilikuwa Iraq,uvamizi wa Us na washirika wake ambao umeicha nchi ktk mauaji yasiyokoma,Bush aliosababisha anakula bata mwenzie Sadam kaburini.Hali ni tete wazungu ondokeni na mrudi kwenu...
  12. M

    Kwanini Wakurd?

    Wewe unatatizo la kufsiri lugha ya kiarabu kwa muundo wa sisisi kuja kiswahili,jifunze lugha ili uwe mkweli,hapa si sehemu ya kudhihirisha tabia ya uongo
  13. M

    Kwanini Wakurd?

    Watu wote duniani wanachembe za ubaguzi,ila kwakua umelete jambo hili kidini,sasa tazama haya: Sio kila mwarabu ni mwislamu.Huko Ujerumani,Itali na Hispania ni ngome za kikristu cha ajabu wachezaji mpira ambao ni waafrika wakifunga hufafnanishwa na manyani,je ndio ukiristu..Israel walianzisha...
  14. M

    Israel Netanyau Aimaliza Hamas na Kuifananisha na ISIS

    Mauwaji ya Itfada chini ya utawala Aron Sharoun,mauwaji ya Yasir arafati ambayo kwa mujibu wa taarifa za vyombo vya habari aliwekewa sumu.hayo mabomu yanavyoua halaiki ya watu wa Palestine watoto wadogo.Ni hatari na inasikisha ila ni kwa mtu mwenye roho ya Kibinadamu,na anafikiri,
  15. M

    Msimamo wa Urusi juu ya Islamic State ni Upi?

    Mimi nakubaliana na Putin kuwa,Al-qaidah na Is na Boko haramu,wameandaliwa na US nahisi Israel na Uk hawapo mbali.Wanaharakati wa Libya waliomuondoa na kumuua Gadaf,sasa wamefanya nchi hiyo haikaliki na hasa mwafrika hatakiwi kabisa,US ni watata kulivyo tunavyofikiria walichafua Africa sasa ni...
Back
Top Bottom