UN alifukuzwa nani amrudishe huko tena, na atoe maelezo ofisi inamwandaliaje mkutano na waandishi wa habari kwa pesa za umma kujibu shtuma zake binafsi, hizo pesa kwani ziliingizwa kwenye account ya wizara huo ni ufisadi mwingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.