Viwanja vinauzwa vimebaki vinne eneo la Kibaha Misugusugu 2km kutoka Morogoro road. Ukubwa wa 20x20 bei 1.8m. Eneo ni zuri na tambarare. Huduma za kijamii zipo karibu. Waweza kuunganisha hata zaidi ya kiwanja kimoja. Kwa maelezo zaidi tuwasiliane 0685401051
Ninacho Kibaha misugusugu umbali 2km kutoka Morogoro road bei rahisi sana 1.8m kiwanja cha 20x20. Unaweza kuunganisha hata zaidi ya kimoja. Maelezo zaidi piga 0685401051 karibu sana hata yeyote anayehitaji.
Njoo nikuuzie Kibaha Misugusugu 2km kutoka Morogoro road 20x20 bei 1.8m. Waweza kuunganisha hata zaidi ya kimoja. 075540051
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa anayehitaji Kibaha aje nimuuzie kuna vya 20x20 bei 1.8m na 25x25 bei 2.8m eneo liko Kibaha Misugusugu 2km kutoka Morogoro road. 0755401051 kwa maelezo zaidi kuona na kutahmini ni bure hakina udalali.
Zege ni ghali zaidi kama unataka kuokoa gharama. Pia zege ukiezekea lazima juu yake uweke material ya water proof vinginevyo likinyonya maji wakati wa mvua nyingi utakuja kukuta linavuja na litakuwekea alama chini darini kwa ndani.
Tafuta fundi wa hizo paa za kuficha hakikisha ni mzuri...
Hakuna anayelazimishwa kununua mkuu. Kila mmoja anajua bei ya viwanja eneo husika. Unakuja mwenyewe kwa hiari yako unaangalia eneo unatafakari bei ukiona inakidhi unachukua. Ukiona bei haiendani na eneo ama hujapapenda unaacha. Uzuri wa kitu macho ya mtu.
Kuna wengi wamekuja wamechukua wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.