Mkuu wa mkoa hapa ameamua kutufunga kamba za kisasa. AMANI na HAKI kamwe sio pande mbili za sarafu. Hizi ni dhana mbili tofauti zenye nguvu tofauti zinazojitegemea. HAKI ni sheria ya kimkataba, AMANI ni moja tu ya matunda ya mkataba na sio chanzo cha HAKI.
Ebu fikiria wanyama wa mwituni hawana...
Kwa faida ya wengi ni kwamba sheria za kimataifa za UN zinataka wamiliki wa meli za kimataifa ksajili meli hizo kwenye nchi zao au kwenye nchi nyingine.
Inchi inayosajili meli inakabidhi bendera yake ipeperushwe na meli hiyo. Hivyo basi nchi inawajibika kwa meli iliyoisajiri na meli...
I am not sure if I get the whole thing correctly. Please someone out there help me with the following questions:
1) Normally negotiations bring two well-known conflicting parties to the negotiation table. Who are those?
2) What exactly are we going to reconcile as of now as a country...
If we are to restore justice and peace in our country we must deal with the root cause of the problem: the lack of internal and external political efficacy.
That people no longer believe that their votes change anything let alone being valued. That people no longer believe that the government...
He needs psychiatric help at this point. In fact he is calling for it perhaps unknowingly.
His party should had known from the start when he started a youth movement aimed at unleashing unguided madness to his party leadership and government officials shortly after the passing on of his boss...
Ndio, compound interest inamnufaisha mwekezaji na kumsulubu mkopaji. Kimbia compound interest unapokopa kwasababu ukishindwa kulipa kiwango cha kila mwezi maana yake umejikopesha na kitajumlishwa na msingi wako na kitazaa mkopo mpya(mkubwa) mwezi unaofuata.
Now that the cat is away the mouce plays. It takes courage, fasting and prayers to forgive and forget psychological and emotional torture sadist Musiba inflicted to the late Membe and his family. A lesson is well learned that every title in this world is transitory and temporary in its very nature.
Nimekimbia mbio kusoma majibu ya hoja zangu, mara paah nakutana na swali juu ya wastani. Nipo hapa najiuliza:
1) Hoja kwamba kwa wastani kila mtanzania anapata sh 3,000, 000 ina uhalisia wowote?
2) Wastani wa kihesabu kwenye nadharia una maana gani kama hesabu hizo sio kiwakilishi cha REAL...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.