Hapana hauko sahihi..wewe ni tone kwa maji ya bahari.kwa mtazamo huo wa kutusi wafu ,utabaki mwenyewe.mzee parkipuny,kwa jamii yake ni kiongozi mzalendo na anatuachia legacy hiyo..jicho na mtazamo wako ni giza..ishia huko...
Matokeo ya Arumeru na baadae defection ya Bwana OleMillya imeleta mwamko na Ari na Ujasiri mwingi miongoni mwa Wananchi..Jamii za Wilaya ya WAMAASAI(NGORONGORO,MONDULI,KITETO,LONGIDO na SIMANJIRO) wanajiskia huru sasa kutamka Kuwa CCM si Mama wala BABA wao na hivyo kuhama waziwazi ni...
Hakika ni siku tofauti kwa historia ya nchi yetu....Ccm na gamba lao wamepata ujumbe nzito kuwa wananchi ndio wasemaji wa kuuu.Makali ya haya yaendelee come 2015...Tanzania bila ccm inawezekana!!!!! Nguvu ya Umma,sauti ya watu,sauti wa Mungu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.