Habari wakuu,
Ninaomba msaada kwa mwenye uelewa wa cream nzuri(isiyochubua please)kuondoa tatizo la chunusi usoni kwangu.
Nimeshatumia vitu vingi Lakini baada ya muda tatizo hurudi.Ninaomba mwenye Tiba ya uhakika anisaidie.
Nimesikia La vista cream inasaidia na haichubui Kuna mwenye testimony...
Habari Wana Jf,
Nikiwa na ufahamu kamili na akili timamu ninajitokeza kuweka wazi nia yangu ya kuhitaji mume.Kwa upande wangu Mimi;
- Mkristo
-Miaka 31
-nina mtoto mmoja
-Degree moja
-muwazi na muelewa
Ninayemuhutaji
-awe Mkristo
-mwenye nia ya dhati ya kujenga familia
-Awe muwazi
-umri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.