Recent content by melkizedeki

  1. melkizedeki

    Utabiri wa atakayekuwa Rais wa Tanzania 2015

    Mkuu sitaki kisema kuwa ninakipaji cha kusema kuwa wewe sio mtabiri ama ni mtabiri wa kweli.... lakini pia sipendi kutumia mifano ya akina brown, clinton n.k..... mm ngoja nisubiri octoba 25 nitarejea kusoma kokotooo zako. Ninachojua mchuano ni mkali uwe ww wa ukawa ama wa chama chetu... bado...
  2. melkizedeki

    Kususa kwa Dk. Slaa: Mtumbwi wa kisiasa wa CHADEMA unazama?

    Unazamaje sasa... kwani huyo Slaa alizaliwa ama amezaa CHADEMA... Mtumbwi wa chama ni people... huyu ni kenge ktk msafara wa mamba.... kwani histotia dhidi yake haipo mbali wala
  3. melkizedeki

    Kinana awaita Makapi wote waliochujwa na CCM kwenye Uchaguzi wa ndani

    Hoja imekaa sawa Wala hujamtukana mtu... na kwa uelewa wako huu mzuri.. lakini ndugu Kinana naye pia ametumia busara ya mwisho ya ueledi wake kuzungumza... ktk ulimwengu wa siasa uchaguzi wa maneno ni wa muhimu sana... Lakini usisahau kuwa bwana ndugu lowasa amechanganya wengi hata kifikra
  4. melkizedeki

    Wale msiojua ya Dodoma, B.W. Mkapa hakuwa na jinsi

    Haaahaaa wakuu Kumbe ni wengi wanahuzunika na kingunge... Cha msingi turejee maneno ya hayati Mwl mwaka 1995 dhidi ya huyu bwana Edward.. alisema kamati ilikuja na ikaondoa baadhi kwa hoja, je 2015 imekuaje?
  5. melkizedeki

    Press conference: Lowassa apelekewa ujumbe mzito

    Waadau na wasomi wenzangu mmenena... huyu jamaa aloleta hiyo stori ya lowasa kurasa na kurasa sizani km anasifa za kua hapo alipo... anachofanya ni asichokijua watu c ktk vitabu bali kihistoria tunajua vyema nn na nan hasa mhusika... ebu kijana kaombe ushauri kwa mkeo km hujamshirikisha kabla ya...
  6. melkizedeki

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Nikiwa km mpenz na mwana arsenal .. nasema hivi man u leo wanalala mbele ya city na kurudi nyuma.. am on fire
  7. melkizedeki

    Vijana waliotembea Geita kwenda Ikulu wanaiteketeza CCM Karagwe na Kyerwa kwa siku 10 sasa!

    Tupo pamoja vijana wenzangu.. Ni lazima wale wa chama chetu washituke kwa hizi harakati za kikombozi zinazoendelea
Back
Top Bottom