Recent content by Melchizedek

  1. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

    Ok... I'm speechless ... Time is my factor
  2. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

    Hope? Kwa ground vitu ni different sana! Don't just trust...
  3. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania New administration under Samia Suluhu gives hope after 5 years of hopelessness

    I love this thread! If it can expose the government to such a level i bet i will be waiting for new post.... The rutashubanyuma is a metaphor
  4. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Sababu za kukataa kuchanjwa chanjo za COVID 19

    Chanjo kama chanjo Nimekaa na kuleta uzii huu ili tuelezane yaliopo kwenye nafsi zetu kuhusiana na hizi chanjo! Kwa wasiofahamu! Utengenezaji na research ya Chanjo ya covid 19 haina mdaa mrefu kama tulivozoea kwenye chanjo za awali ! Aina ya chanjo za awali [ English ] 1 BCG vaccine (...
  5. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Kwanini Tunaogopa Chanjo ya Corona

    Chanjo kama chanjo Nimekaa na kuleta uzii huu ili tuelezane yaliopo kwenye nafsi zetu kuhusiana na hizi chanjo! Kwa wasiofahamu! Utengenezaji na research ya Chanjo ya covid 19 haina mdaa mrefu kama tulivozoea kwenye chanjo za awali ! Aina ya chanjo za awali [ English ] 1 BCG vaccine (...
  6. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tanzania haitakubali chanjo ya Corona kabla ya kujiridhisha

    Kumbee ngoja nizamie
  7. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tanzania haitakubali chanjo ya Corona kabla ya kujiridhisha

    Mzee! Binafsi hizi taarifa zinanipaa wasiwasi sana! Kwanza tukija kwenye hiyo graphene oxide, nimedhibitisha hii chanjo iliyoshuka hapa tz ina hizo content za graphene oxide! Alafu kibaya zaidi wameleta aina 3 za chanjo! Hapo naona watu wakichanganya vaccine of which is very very dangerous...
  8. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Rais Samia: Tanzania haitakubali chanjo ya Corona kabla ya kujiridhisha

    Uko vizur sana! I wish people could see this! Yaan ni aibu mtanzania kukubali chanjo wakati anajua tanzania inafanya mambo yake yakuunga ungaa! Hatuna facilities za kuzuia hazards effects za vaccine
  9. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Rais Samia Suluhu Hassan kuhusu Tanzania

    Yaani ni ndefu mpaka usingizii yaan
  10. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Hahahahahah mbn kama picha yako vile? Kwani haya maviatu ni vya pisi kali? Au ametokea mbagala kwa watu wa usafiri mgumu! Ndo kaona High heels hazifai! 😂😂
  11. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Ma ccm mkiamka nataka majibu kama katiba inazuia uchumi?
  12. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Samia Kaishiwa! Ccm hawana uwezo wa kaconvince wananchii ! Yaani akubali 2 katiba awe amejitia kitanzii! Na hatokaa apite 2025 Sasa kajibiwa kijanja na Askofu... Haya mambo ccm washakwama kitambo sana
  13. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Pisi nini umesema? Turudii kwenye madaa!
  14. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Aaaaaiii ati uhoro! Unajua wananchi nimegundua mnawaza maeneo ya chini sana! Kama hauna bundle nikununulie ukapige nyetoo midaa ndo hii, au ushamaliza kutema ukaamua uzunguke Jf....
  15. Melchizedek

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Mjibuu huyo maana naona kama kajinyea na nilimwambia sijanunua pampers 😂
Back
Top Bottom