Recent content by mekuoko

  1. mekuoko

    Paul Makonda awavuruga CHADEMA hata kabla hajashika maiki na kuunguruma

    Wewe si ndiwe muandika utopolo humu, Mara Tulia aombewe, Mara cdm, Mara makonda etc. Ukunguni wako utakuua, jifunze kufanya kazi.
  2. mekuoko

    Zambia kuzuia Mahindi kuingia Tanzania ni kutowapenda Wakulima Wake?

    Usalama wa Chakula Ni katika ngazi mbili, ngazi ya Kaya na ngazi ya taifa (NSRF) hapo ndio Kuna jukumu na wajibu wa kutunza Chakula kulingana na uhitaji, upatikanaji, matumizi na uwezo. Kilimo Ni biashara, haiwezekani mtu awekeze kwenye kilimo halafu avune uniwekee ukiritimba wa kuuza kwa Nani...
  3. mekuoko

    Biswalo atafaa kuwa Jaji Mkuu, alionesha uwezo mkubwa wa kushawishi kumalizwa kesi nje ya Mahakama

    Ushuzi. Kakutuma au ni uchawa tu kwa harufu ya zilizotunzwa china?
  4. mekuoko

    Benki ya Dunia: Ingawa Uchumi wa Dunia Utadorora mwaka 2023, Uchumi wa Tanzania utakua kwa asilimia 5.6

    Brother umepambana sana tangu Enzo za jpm, ila wote hawajakuona!!! Ongeza bidii za kuwa chawa unaejitegemea huenda Mama kwenye hii panga pangua ukapewa hata UDC pale sumbawanga, rufiji, au Bagamoyo [emoji23][emoji1787][emoji41]
  5. mekuoko

    Matokeo Uchaguzi wa Wajumbe wa NEC-CCM Kwa Upande wa Tanzania Bara

    Ilikuwa Mchaga hatapewa nchi, sasa amekuwa Mhaya!! Ubaguzi wa kikabila utatufikisha wapi!? Hao Wahaya na Wachaga wanakosa nini kuwa Viongozi wa nchi hii??! Ubaguzi na Ukabila ni sumu ya maendeleo.
  6. mekuoko

    Rais Samia ni zawadi kwetu Watanzania tunayopaswa kujivunia na kuiheshimu

    Wewe si unakula na kushiba na kusaza na familia yako!!! Wanao wanasoma shule utakayo! Si unalala kifahari!! Tunapigwa tozo Sisi tuliokosa vyote hivyo ili kukuongezea ufahari na kufanya utakalo chini ya jua, wenzio hatuna hata malapa ya kuendea shule na shambani wakati wewe, mkeo watoto...
  7. mekuoko

    Rais Samia ni kiongozi mwenye maono sana

    Kwako sawa. Si maono, matarajio, makengo, mafanikio, maisha na yote upendayo si unayapata through her!!? Ni lazima uone hivyo. Sisi 10,000 unapata Lita 2 ya petrol au mchele, sukari kg 3 Unataka kutuambia nini?!
  8. mekuoko

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa kutoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara jioni ya leo

    Tumpe nafasi tumsikilize kwanza ndiyo tucomment. Huyu 2nd kwa nchi yetu. Subira huvuta heri.
  9. mekuoko

    Maafisa Elimu kata wengi kutoshirikishwa mafunzo ya sensa ngazi ya mkoa mkurugenzi wa sensa taifa toa mwongozo haraka

    Hii nchi kwa sasa wasomi ni wengi sana. Je hao maafisa elimu kata wanakidhi vige vyote vinavyohitajika? Je kada nyingine hawawezi kufanya hiyo kazi? Kama hujachaguliwa kufanya hiyo kazi ya sensa!, Wewe fanya kazi uliyoajiriwa. Mtaani form 6, Wa degree 1- 3, wenye taaluma mbalimbsli, tupo kibao...
  10. mekuoko

    Ni yupi kati ya hawa ni wa kumuandaa kuwa Rais wa Tanzania hapo baadaye?

    Tundu Antipas Lissu. Rais wa mioyo ya Watz for long time.
  11. mekuoko

    Mzee Makamba: Katika umri wangu wa miaka 84 leo ndio nayaona maji ya bomba Bumbuli, ahsante awamu ya 6

    Mzee unasikitisha sana. Muda wote umekuwa na madaraka nchi hii, RC Dar mpaka kuwa Katibu Mkuu wa CCm, hukuona kwamba Bumbuli haikuwa na maji ndio umeona sasa yakitoka!!!? Shame on u. Tatizo Ni kushangilia shangilia tu na kulamba asali bila kukumbuka nyumbani. Mzee tulia Tegeta nyuki Makba jr unae.
  12. mekuoko

    CHADEMA behaves like a novice political party

    "You thought the way you looks" you don't need PHD to know the truth of the Sagar. But because you are partisan, you walk and think blinded. Ndugu zako wanasagwa Kama nyumbu na nguruwe mwitu kupelekwa Tanga, uko kimya unakuja kenyua hapa na kiiingereza mingi kuwadhalilisga CDM na mawakili...
  13. mekuoko

    Maxence Melo: 2017 niliwahi kufuatwa na watu wasiojulikana ila Balozi wa Umoja wa Ulaya akaninusuru!

    Hayajakufika!!! Utajua Ni kweli au uongo. Ila Wewe si Chawa na upo kazini!!? Sikushangai. Endelea kujipekecha.
  14. mekuoko

    CCM msaidieni Ole Sabaya, ni mwenzetu tusihukumiane

    Kama "Kesho yetu" na Yeye si ndiyo imeshakuwa Leo yake?! Acheni uchuro, huyu mhuni, mshenzi, mwizi, laghai, Malaya, mlevi, huligan etc alietesa Karibu kila Mtu kwa kumtegemea "jiwe" ndie unatulaani nae!!!? Mungu na akutende vivyo hivyo kulingana na kauli yako. Michango mmesema juzi...
  15. mekuoko

    Naomba mbinu za kumng'oa mbunge aliyeshika hatamu kwa miaka 25 mfululizo

    Mvizie umtoe roho vinginevyo utasubiri sana.
Back
Top Bottom