Recent content by Mecris1992

  1. M

    Biashara ya samaki

    Habari mkuu, ulishaanza Biashara yako?
  2. M

    Natafuta Udhamini wa masomo

    Chuo nimepata mkuu, na gharama zote kwa jumla mpaka namaliza masomo ni milioni mbili na laki nne na elfu sitini.
  3. M

    Natafuta Udhamini wa masomo

    Ahsante sana kwa ushauri wako mzuri mungu akubariki
  4. M

    Natafuta Udhamini wa masomo

    Habari, Majina yangu Emanuel Maro, nimehitimu masomo katika kada ya ugavi na manunuzi (procurement and supplies management) ngazi ya cheti katika chuo cha utumishi Wa umma Tanzania (TPSC). Ninatakiwa kuendelea na masomo ngazi ya diploma lakini nimeshindwa kukidhi gharama za masomo, nilianza...
  5. M

    Wazo la biashara ya Tisheti za kuprint

    Habari zenu wakuu, Mimi ni kijana niliyehitimu chuo fani ya ugavi na manunuzi, kutokana na ugumu Wa ajira niliamua kubuni wazo la Biashara ili nisipoteze muda. Nilifikiria kuanzisha Biashara ya kununu manga plain T shirts na kuziprint then nizi advertise katika mitandao ya kijamii e.g Facebook...
  6. M

    Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

    mkuu naomba mawasiliano yako tafadhari kama hutojali.
  7. M

    Biashara ya nguo, viatu, mikoba na cosmetics kutoka Uganda

    Money Stunna naomba mawasiliano yako tafadhar.. ningependa nianze biashara
Back
Top Bottom