Pamoja na hayo facilities za serikali zina changamoto nyingi, ratio ya wagonjwa na mtoa huduma ni kubwa mno, nurses na clinicians wana overwork, maabara hazina vitendea kazi, hawalipwi mishahara bali wanalipwa vimishahara, kwa ufupi wanafanya kazi kwa kujitolea
Ni waliookoka na wacha Mungu tu ndio huweza kuacha mambo yamchukizayo Mungu. Kwa kutegemea akili zako hawezi acha mambo yakuleteayo hatia ndani yako. Pengine ninaurgue na mtu mwenye uwezo mdogo wa kufikiri na kujenga hoja
Kupiga puli wewe inakuhusu nini au umewashwa nini. Tahira ni wewe mwenyewe unayetoka nje ya mada na kujadili vitu vingine. I perceive hata ufaulu wako darasani ni wa mashaka
Hunijui, sikujui. Jiheshimu katika kuandika kwako. Kama unataka kuurgue leta ushahidi wa maandiko kutetea suruali ni vazi la kiume na si kujadili maisha ya mtu na vitu vyepesivyepesi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.