Hii ni kweli kabisa, kuna muda mikopo huwa inarudisha nyuma sana.
Shida inakuja unakuta TRA wanadai na deadline imekaribia, mwisho wa siku ili kukwepa Penalty inabidi kukopa.
Mkuu kwa exposure uliyoipata huko, je ni digital services gani ambazo zipo kwenye trend na zina demand kubwa sana huko China, ambazo huku kwetu pia zikianzishwa tunaweza kunufaika nazo kibiashara?
Wakuu mambo vipi,
Hivi kwa wale ambao mmefanikiwa kwenye biashara zenu, hiki kiunzi cha kupambana na changamoto ya mtaji kukata mlikiruka vipi ndugu zangu. Ni njia gani mlizitumia ili na sisi ambao bado tunahangaika kuruka hiki kiunzi tuzitumie
Kuna muda unaona kabisa, nikifanikiwa kuvuka...
Wakuu mambo vipi.
Kwa wale wafanyabiashara wote wakubwa na wadogo, naomba tupeane mbinu ambazo huwa mnazitumia kupata mitaji pindi biashara zetu zinapopitia changamoto.
Changamoto ya kupata mtaji, au kuweza kupata back-up ya mtaji kwa haraka kwa upande wangu imekuwa inanisumbua kwa muda mrefu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.