Recent content by meandi

  1. M

    JamiiForums Tanzania DART mbioni kupoteza hadhi yake katika jiji la Dar

    Mkuu hiyo soon ulikuwa unamaanisha ni baada ya muda ganiii??
  2. M

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kupunguza umasikini fuga kuku chotara na kama unataka kufanya biashara fuga Kisasa

    Ni kweli aisee. Hili ni funzo kwa wote tunao Fanya ufugaji. Na tukiweza kufika huko tutaona matunda ya ufugaji.
  3. M

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kupunguza umasikini fuga kuku chotara na kama unataka kufanya biashara fuga Kisasa

    Mkuu umenikumbusha kuna makala moja niliisoma ya Mfugaji mmoja nchi za west Africa, anasema wafugaji wengi hatuko serious. Akasema MTU ana kuku 1000 halafu anajiita Mfugaji?(of course nili shtuka). Akasema ukiwa na idadi hiyo na ukapata soko La uhakika La kuku 100 kila siku maana yake wewe una...
  4. M

    JamiiForums Tanzania Kama unataka kupunguza umasikini fuga kuku chotara na kama unataka kufanya biashara fuga Kisasa

    Mkuu umenikumbusha kuna makala moja niliisoma ya Mfugaji mmoja nchi za west Africa, anasema wafugaji wengi hatuko serious. Akasema MTU ana kuku 1000 halafu anajiita Mfugaji?(of course nili shtuka). Akasema ukiwa na idadi hiyo na ukapata soko La uhakika La kuku 100 kila siku maana yake wewe una...
  5. M

    JamiiForums Tanzania DART mbioni kupoteza hadhi yake katika jiji la Dar

    Kitu cha ajabu kabisaa. Yaani shirika lina resources nyingi (nahisi kuliko kampuni zote za simu) halafu ndio lina cover eneo dogo kuliko makampuni yote.
  6. M

    JamiiForums Tanzania DART mbioni kupoteza hadhi yake katika jiji la Dar

    Hivi hamkujipanga.? Kwanini hamfanyi uchunguzi kabla ya kufanya mnacho kitaka?? Hiyo transition(kama unavyoiita wewe) mnajua imeingiza hasara kiasi gani kwa serikali na kwa RAIA mmoja mmoja anaye tumia huo usafiri? Mnajua itachukua muda gani mpaka mambo yakae kwenye mstari(binafsi sioni yakija...
  7. M

    JamiiForums Tanzania DART mbioni kupoteza hadhi yake katika jiji la Dar

    Mkuu hizo gari 70 ni mpyaa auu zilikuwepo zikawa hazifanyi kazi? Ishu nyingine ni hapo kwenye TTCL, labda kama sijui ila ni biashara gani Ttcl wamefanya auu kusimamia ikawapiku wapinzani wake sokoni?
  8. M

    JamiiForums Tanzania DART mbioni kupoteza hadhi yake katika jiji la Dar

    Ngoja tuwaone kama watakuwa na jipya ila binafsi siwaoni wakileta mabadiliko.
  9. M

    JamiiForums Tanzania DART mbioni kupoteza hadhi yake katika jiji la Dar

    Na kama serikali italiangalia hili jambo kama wewe ulivyo liangalia basi wajue wananchi ndio wanao teseka.
  10. M

    JamiiForums Tanzania DART mbioni kupoteza hadhi yake katika jiji la Dar

    Kati ya mashirika yanayo endeshwa na watu wasio na maono basi TTCL ni moja wapo.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Kuku aina ya Sasso wanauzwa

    Kwa kweli wa kuonja hapatikani labda ubahatike siku utayo kuja ukute nimedondosha kwa ajili yangu.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Kuku aina ya Sasso wanauzwa

    Huwa wanataga asubuhii. Mara nyingi kuanzia SAA moja moja hadi saa sita sita
  13. M

    JamiiForums Tanzania Kuku aina ya Sasso wanauzwa

    Poa poa mkuu.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Kuku aina ya Sasso wanauzwa

    Sasso hawaatamii. Wao wanataga tu. Wanao taga na wanao karibia kuanza wapo. Karibu
  15. M

    JamiiForums Tanzania Kuku aina ya Sasso wanauzwa

    Majogoo yapo 30 na matetea yapo 45. Matetea machache yameanza kutaga Ila bado ni mmoja mmoja. Ambao wana taga kwa mtiririko unao eleweka ni 14.
Back
Top Bottom